Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

Hakuna technology ya wireless communication kutoka Dar mpaka Dodoma kwa speaker. Kwanza speakers za hivyo au WiFi au Bluetooth yenye nguvu namna huyo havipo.
 
Hakuna technology ya wireless communication kutoka Dar mpaka Dodoma kwa speaker. Kwanza speakers za hivyo au WiFi au Bluetooth yenye nguvu namna huyo havipo.
Wewe ni mgumu kuelewa.... Angalia mada ipo jukwaa gani

😀ont folo folo me wizout ene bikoz:
 
hazina tena uwezo wa kuchuja, hazina compatibility.
 
binafsi sijakuelewa mleta maada!
Pole sana kamanda. Jamaa katumia lugha ya fasihi (picha) kufikisha ujumbe. By the way sio LAZIMA uelewe kila thread!
 
Saboofer au loudspeaker ni kiwakilishi cha ayanenayo mc
 
You can't connect one device in two connections. Hasa wireless speakers or headphones, but inaweza kuwa destructionnetwork nyengine, ikiwa itakuwa so close.
Yaani wewe ndo umetoka kapa kabisa kwenye mada. Hii ni mada fikirishi... unganisha nukta. Hili ni jukwaa la siasa
 
Nimekuelewa lakini lazima nijifanye sijakuelewa nisijeitwa mbele ya kamati ya harusi yenye spika za buluutuusi nikajikuta nacheza singeli badala ya ngoma za wagogo wakwetu Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna technology ya wireless communication kutoka Dar mpaka Dodoma kwa speaker. Kwanza speakers za hivyo au WiFi au Bluetooth yenye nguvu namna huyo havipo.
Usipende kuchangia mada ambayo hujaielewa. Utaonekana zuzu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…