Ogopa ma senior bachelor

Ujue mtani huyu mzee mwenzangu huwa anajawa busara sana linapokuja suala la kushauri kuhusu ndoa huku jukwaani...

Kumbe hata mguu hajatiamo...

But ninamheshimu sana, kama alivyosema "kuishi kwingi ni kuona mengi" nakubali pasina kupepesa macho.
Lakini mwenzako anakaribia uField Marshall. Usiseme mzee mwenzako, we bado sana!!
 
Kwa sasa ni sawa kwa sababu unaweza kufanya kila kitu ila ukianza kuingia uzeeni ndio utakumbuka ule msemo wa 'nobody wants to die alone'
 
Nafaham kadhaa bt seniours.. bt rumour hast it kwamba wanatafunwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…