Ogopa kuzoeana na machawa wa maaskofu na wachungaji na manabii utakufa maskini

Ogopa kuzoeana na machawa wa maaskofu na wachungaji na manabii utakufa maskini

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Polen sana weathirikaaa

Najua kuna ndoa nyingi zimeumia na Hawa watuuuu

Niwajuze tu kwelii mali pesa zinaenda kwa wachungaji na manabiii

Lakini wakupiga marufuku n machawa wa Hawa viongoxi

Hawa wakishakujua wanataka kukutembelea nyumban wakifika wanarudi na aviola part two

Washampanga mch..Nabil vya kutosha unasikia mke Kavuta lak 5 za biashara akapewe maji na mafuta

Hawa vimelea n zaidi ya minyoooo

Piga marufukuuu

Kuna best wangu naona pepo anadili nae yeye na mkeqe past Tony

Yaan anaongea vitu vya aibu na ajabu kanisaniiii

Ukifwatiliaaaa n pesa zenu mmepeleka wenyewe via machawa

Sumu ya kwanza n Hao wandaniwenuu nxty piga marufuku watu wa kanisanj kufika nyumban kwakoo mkeo ama mumeoo atauza hadi shimoo la choooo akiendekxa Hawa machawa

Hawa watuu Wana nguvu za ajabuu
 
Back
Top Bottom