Ogopa hizi shuhuda

Vipi kuhusu anayetoa ushuhuda wa Corona, apuuzwe?


 
Shida ya kubet ipo kwenye bahati

Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta hoja alitoa orodha ya vipindi au vipigo ikiwemo betting ya mpira. Ndo nilikataa hapo. Unaweza pata au kosa ukiachilia uhakika ni mdogo. Ila mengine ni vipigo pure kuanzia nia yenyewe, mchakato na matokeo. Tunaita kipigo ab initio. Kuna mtu anapigwa akikusimlia unataman kwa elim yake umuongezee kofi!
 
Nadhani umepanda mbuyu moyoni na akilini mwake.

Sent using iphone pro max
 
Hapa mitandao ya simu, Kuna haja ya kufanya urekebishaji, wa hiyo miamala.

Walichelewa Sana kutupa mamlaka ya kurejesha miamala unapokuwa umekosea namba,.

Badae wakatupatia mamlaka na ukomo. Ukirusha hela kwenda mtandao Mwingine Kama umekosea huwezi kurudisha, hili Ni tatizo pia.

Kwakuwa wameamua kuingiza kipengele Cha kurusha miamala kwenda mtandao Mwingine wakubali kutupa mamlaka ya kurudisha pia, kwani pale huibi, unarudisha hela yako.

Sio mpaka tupige simu kwao. Huko Ni kujiongezea kazi wao zisizo za Lazima.

Enyi watu wa mitandao, Vodacom, Tigo, TTCL, Airtel, Zantel, na Halotel sikieni hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Haya Maswali Ni mazuri Sana, Kuna mmoja ananisumbua na mambo ya ALLIANCE AIM GLOBAL huwa namchora tu. Kajiingiza kichwakichwa AIM GLOBAL bila kujua Ni kautapeli mi nacheka anavyonishawishi eti kujiunga laki tano 😂😂😂
 
Ndo maana watu waliofanikiwa hawasemagi siri ya mafanikio yao. Kuna kitu nimejifunza.
 
Muogope zaidi anayeaminisha watu kwa kutumia madhabahu kwamba nchi yetu haitaguswa aslani na COVID 19. Na watu, kama mazuzu, wanashangilia kwa nguvu na kuwazomea wale ambao walikuwa wanawahimiza kufuata masharti ili kuepukana na gonjwa hili.
vipi mpaka kufikia sasa una lipi la kusema kuhusu janga hilo na nchi yetu kwa ujumla...
 
Muogope zaidi anayeaminisha watu kwa kutumia madhabahu kwamba nchi yetu haitaguswa aslani na COVID 19. Na watu, kama mazuzu, wanashangilia kwa nguvu na kuwazomea wale ambao walikuwa wanawahimiza kufuata masharti ili kuepukana na gonjwa hili.
vipi mpaka kufikia sasa una lipi la kusema kuhusu janga hilo na nchi yetu kwa ujumla...
 
Haya Maswali Ni mazuri Sana, Kuna mmoja ananisumbua na mambo ya ALLIANCE AIM GLOBAL huwa namchora tu. Kajiingiza kichwakichwa AIM GLOBAL bila kujua Ni kautapeli mi nacheka anavyonishawishi eti kujiunga laki tano
Ameshaliwa uyo
 
Kuna maneno kwenye hii comment nlitafuta kamusi..Thank you for increasing my Vocabulary.
 
Sio Kama kilimo hakilipi...hizo Ni changamoto za utafutaji..kulima wanalima wengi...ingekuwa hailipi tusingeona kitu sokoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…