Ofisi zote leo ni Lowassa

Ofisi zote leo ni Lowassa

Hapa kwa ofc yetu kuna mikunguni inaniboa kweli yaani yenyewe ina leta siasa za maji taka yaani navizia kadi zao tuzifiche ili isiweze kupigia hilo kufuli lao. wadau naomba mnipe mbinu mbadala ingine kama ipo huko
 
safari hii tusihangaike kupiga kura,,, dawa ni hawa wagombea wawili waingie tu kwenye kamba wachapane makonde ataeshinda ndo prezidaa,,, sipati picha kile kidingi kichunga ng'ombe kitavomchakaza jamaa mlinzi yelo yule,, mtakua tu mnamskia mzee wenu anatoa ukelele wa chini chini wa kushindwa ile "njooni mtuamue mi hakianani nawambia ntamuumiza mag.ufuli,, ntamtoa damu mimi"!!! kwanza kijamaa kile hakitompiga yule mzee,, kitamnywa supu kabisa kudadeki zake

Hicho kichwa kazi yake ni kufikiri.
 
Katika hali ya ushindani ni kanuni kwamba kutakuwa maoni both sides, sasa kama ni pambano la simba na yanga ntashangaa sana ukinambia inaongelewa simba tu, ina maana simba anacheza pekee yake sasa
 
Makonda na madereva Leo ni Lowassa tu
Wauza biashara ndogo ndogo Leo ni Lowassa tu
Wamachinga Leo ni Lowassa tu
Mpaka beki Tatu Wa nyumbani kwangu Leo kanipa habari za Lowassa
"Nitaichinja ccm bila huruma"
Makonda
Mkuu wa Wilaya ni lazima tu kaipata ya mafuriko DSM
na bora naye kajirudi maana alizidisha kumnanga Bw Lowassa
 
Makondaaaaa aliwatuliza madereva kwa sababu yeye ndio mwenye hesabu ya gari...
 
Leo sisi tulikua tunajadili, namna gani juzi arsenal walipigwa mbili bila na chelsea wakatoa droo

Mimi ni shabiki wa ze blues, kwa kweli timu iko vizuri. Kucheza mko 10 against timu nzuri kama Swansea usifungwe ni jambo la kujivunia.

Kipigo walichopata asenali kimenifurahisha!
 
Katika hali ya ushindani ni kanuni kwamba kutakuwa maoni both sides, sasa kama ni pambano la simba na yanga ntashangaa sana ukinambia inaongelewa simba tu, ina maana simba anacheza pekee yake sasa

Waambie kuwa wameshinda ili waache kujaza server kwa nyuzi za kipuuzi(biased).
 
Sjawahi shuhudia wananchi wa kada zote wakiwa na majadialiano ya kina kuhusu mtu yoyote kama wanavyofanya sasa kwa lowassa, na ukweli ni kua wanaomuunga mkono ndo wanaoshinda kwa hoja, hakika hii haijaja kama ajali au lowassa mwenyewe kujisifu kwa kuongea sana, bali kazi zake silizo njema alizozifanya ndizo zinazomshudia

Leo nilikuwa kwenye semina moja hivi.. coordinator kapiga slide zake kamaliza akaleta story za Lowassa.. tukaensa Breakfast... wakati watu wanapata chai wanashushia na Lowassa...
Tukarudi kupiga slide... baada ya kumaliza coordinator akachomeka za Lowassa... tukaenda Lunch.. watu wanapiga msosi na story za lowassa... tukarudi kumalizia slide... hapo ni kuelekea saa 10 coordinator akaweka za lowassa. Tukamaliza somo la siku... wakati wa kuondoka watu wakakusanyika kwanza kumjadili lowassa...

Mpaka tunaondoka ni Lowassa.. watu mpaka wanasahau semina ilikuwa ya nini...
 
Sio ofisini, kila sehemu Lowasa.
Hana haja ya kufanya kampeni.
Tumeshamuelewa.
 
Huku uchina viwanda vya makufuli vimesimamisha uzalishaji, ni kutokana na Mafuriko ya lowasa.
""Unywaji wa POMBE ni hatari kwa afya yako tafakari ondoa sisiem''''
 
Back
Top Bottom