Ofisi zote leo ni Lowassa

Ofisi zote leo ni Lowassa

UWOGA=UMASKINI

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
2,400
Reaction score
1,017
Leo maofisini jina lilokuwa likitamkwa kuliko yote na kazi zoa ilikuwa Lowassa mfano nilikuwa kwa ofisi moja ya serikali wakawa wanasema no like lowasa sasa sijui ofisi za walimu leo Lowassa alijadiliwa kwa kiasi gani coz wanavyoichukia CCM, mwenye mrejesho wa ofisi nyingine hapa atupe
 
Makonda na madereva Leo ni Lowassa tu

Wauza biashara ndogo ndogo Leo ni Lowassa tu

Wamachinga Leo ni Lowassa tu

Mpaka beki Tatu Wa nyumbani kwangu Leo kanipa habari za Lowassa
"Nitaichinja ccm bila huruma"
 
Bodaboda, daladala, mabasi ya Mikoani, Machinga, Mama ntilie, Waalimu, Tourists, Mabalozi, Wafanya kazi wote, Masheikh, Maaskofu, Wana vyuo, Lecturers, Wanafunzi, Wafugaji, Wakulima, Mitaani, Vijijini, Mijini, Wavuvi, Maharusini, Send off, Mahotelini, Police, Jeshini, Wapita njia, Wagonjwa, Madaktari, Watoto wadogooo...< 5 years, Wazee, Vijana, Albinos, Wafungwa, Magereza...

Ni Lowassaaaaaaaaaa....Ukawaaaaaaaaa....

Wataisoma Namba...!!!

It is TIME for CHANGE...!!!
 
Watanyooka tu mwaka huu.
Bado nasubiri mheshimiwa avae gwanda kazi ianze..
PEOPLE'S?????
 
Leo sisi tulikua tunajadili, namna gani juzi arsenal walipigwa mbili bila na chelsea wakatoa droo
 
Sjawahi shuhudia wananchi wa kada zote wakiwa na majadialiano ya kina kuhusu mtu yoyote kama wanavyofanya sasa kwa lowassa, na ukweli ni kua wanaomuunga mkono ndo wanaoshinda kwa hoja, hakika hii haijaja kama ajali au lowassa mwenyewe kujisifu kwa kuongea sana, bali kazi zake silizo njema alizozifanya ndizo zinazomshudia
 
Kwwnye msafara ndio usiseme watu tumeimba masaa kumi bila kupumzika wala kunywa, kumbuka ukawa hatuna rushwa ya kujipooza, bali tumewiwa kuishi kwa furaha japo moyon tunanjaa

Viva Lowasaa

Wamemkata wwnyeweeee lowasaa
Oooohhhh,,, lowasaaaa aaaaa

Yaani ni raha tupuuu&#128514;&#128514;&#128517;&#128517;&#128517;
 
DA! LEO NIKIWA CLAS TEACHER WE2 WA BIO KAFUNDISHA KIDOGO TU MUDA WOTE ANAMZUNGUMZIA LOWASAA daaa! noumaa kishenz nikajarb kuingia staff kuchukua chaki nikakuta staff maticha wanamzungumzia lowasaaa! da! maticha wameamua aiseee....kumchinja magufuri..
 
Leo sisi tulikua tunajadili, namna gani juzi arsenal walipigwa mbili bila na chelsea wakatoa droo

nyinyi ndo gamufai kabisaaa!bora ungali jadili hata mambo ya familia ningalikuona una maana.kuliko kujadili mpira wa uengereza na kuacha habar muhimu za kwenu.
 
Bodaboda, daladala, mabasi ya Mikoani, Machinga, Mama ntilie, Waalimu, Tourists, Mabalozi, Wafanya kazi wote, Masheikh, Maaskofu, Wana vyuo, Lecturers, Wanafunzi, Wafugaji, Wakulima, Mitaani, Vijijini, Mijini, Wavuvi, Maharusini, Send off, Mahotelini, Police, Jeshini, Wapita njia, Wagonjwa, Madaktari, Watoto wadogooo...< 5 years, Wazee, Vijana, Albinos, Wafungwa, Magereza...

Ni Lowassaaaaaaaaaa....Ukawaaaaaaaaa....

Wataisoma Namba...!!!

It is TIME for CHANGE...!!!

hahahahahahaha! we ni noma
 
safari hii tusihangaike kupiga kura,,, dawa ni hawa wagombea wawili waingie tu kwenye kamba wachapane makonde ataeshinda ndo prezidaa,,, sipati picha kile kidingi kichunga ng'ombe kitavomchakaza jamaa mlinzi yelo yule,, mtakua tu mnamskia mzee wenu anatoa ukelele wa chini chini wa kushindwa ile "njooni mtuamue mi hakianani nawambia ntamuumiza mag.ufuli,, ntamtoa damu mimi"!!! kwanza kijamaa kile hakitompiga yule mzee,, kitamnywa supu kabisa kudadeki zake
 
Back
Top Bottom