Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,781
- 898
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeahidi kupeleka gari Wilaya ya Kahama kwa ajili ya kurahisisha utendaji kazi Ofisi ya Uhamiaji (Immigration) Kahama-Shinyanga kutokana na msongamano mkubwa wa Wahamiaji Kahama.
Hayo yamejiri baada ya Mbunge wa Jimbo la Ushetu kuuliza swali Bungeni kuwa ni lini Ofisi ya Uhamiaji Kahama-Shinyanga watapewa gari kwa ajili ya kurahisisha majukumu ya kila siku ili kupambana na wahamiaji haramu wanaoingia kwa wingi Wilaya ya Kahama
Swali hilo lilijibiwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani Mhe. Jumanne Sagini
Hayo yamejiri baada ya Mbunge wa Jimbo la Ushetu kuuliza swali Bungeni kuwa ni lini Ofisi ya Uhamiaji Kahama-Shinyanga watapewa gari kwa ajili ya kurahisisha majukumu ya kila siku ili kupambana na wahamiaji haramu wanaoingia kwa wingi Wilaya ya Kahama
Swali hilo lilijibiwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani Mhe. Jumanne Sagini