Ofisi za Uhamiaji Kahama Kupewa Gari

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,781
898
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeahidi kupeleka gari Wilaya ya Kahama kwa ajili ya kurahisisha utendaji kazi Ofisi ya Uhamiaji (Immigration) Kahama-Shinyanga kutokana na msongamano mkubwa wa Wahamiaji Kahama.

Hayo yamejiri baada ya Mbunge wa Jimbo la Ushetu kuuliza swali Bungeni kuwa ni lini Ofisi ya Uhamiaji Kahama-Shinyanga watapewa gari kwa ajili ya kurahisisha majukumu ya kila siku ili kupambana na wahamiaji haramu wanaoingia kwa wingi Wilaya ya Kahama

Swali hilo lilijibiwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani Mhe. Jumanne Sagini
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2023-05-03 at 12.08.36.mp4
    6.8 MB
  • WhatsApp Image 2023-05-03 at 12.28.49(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-05-03 at 12.28.49(1).jpeg
    93.5 KB · Views: 8
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom