Mi nilijua Ndani ya ofisi yake nikajua atakuwa anawafanyia vitu vibaya....au yeye mwenyeweKwa kipindi kirefu sasa mara upitapo ofisi ya mkuu wa mkoa utakereka kwa harufu nzito ya kinyesi. Jamani hadi tutoe malalamiko JF ndipo mfanye usafi? OK fanyeni usafi mnatuchefua sana.