Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Kwa kipindi kirefu sasa mara upitapo ofisi ya mkuu wa mkoa utakereka kwa harufu nzito ya kinyesi. Jamani hadi tutoe malalamiko JF ndipo mfanye usafi? OK fanyeni usafi mnatuchefua sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
70% ya mji wa daslam unauka uvundo/kinye.si and other irritating smell.(This is before flooding)
On top of that...1/4 ya wakazi wa daslam ni misukule!!
Mkuu umeniacha mbavu zinauma. Nina ndugu kibao dar kumbe nao waweza kuwa misukule. Dar bana, full karaha halafu watu wanajisia kuishi dar
Kwa kipindi kirefu sasa mara upitapo ofisi ya mkuu wa mkoa utakereka kwa harufu nzito ya kinyesi. Jamani hadi tutoe malalamiko JF ndipo mfanye usafi? OK fanyeni usafi mnatuchefua sana.
Mbaya zaidi hayo maji ya kinyesi yanatiririka ndani ya mitaro iliyo wazi kabisa upande huu wa kuingia jengo la mwl haouse. Aibu kweli, sisi wabongo!
Dar bana!! hadi form za mkopo itanilazima nipoteze nauli elfu 50 nizifuate dar...this is horrible/terrible!!
Nadhan Wakazi Wa Dar Wameiga Kutoka kwenye Hiyo Ofisi Kuu ya Jiji!! Shame on Meck Said!! He had no any Priorities for the City!! He is Like a Social / Public Relation Officer!!
hata balozi wa nymba kumi anataka buku ndo akuhudumie,eti unachangia mhuri,nyamabafu kabisa.
Fafanua kwenye red.70% ya mji wa daslam unauka uvundo/kinye.si and other irritating smell.(This is before flooding)
On top of that...1/4 ya wakazi wa daslam ni misukule!!
Bila shaka jiji la dar linaongoza kwa uchafu duniani..yani kiukweli ni chafu haswaa!