Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 448
Ofisi za Happy Nation ya kupokelea mizigo DSM siyo salama kwa mizigo. Mzigo ya wateja umerudikwa nje na kunyeshewa mvua. Ndani ya store ya mizigo,mizigo ya mafuta na isiyokuwa na mafuta imechanganyika. Mizigo ya samaki imechanganywa na isiyokuwa ya samaki.
Ofisi hiyo ya kupokelea mizigo wanafuga PANYA kuna panya wakubwa wengi wanaaribu mizigo ya watu kwa kuitoboa na kuitafuna. Mzigo wa mteja unakuwa na dhamani wanapopokea hela hukifika awana habari na mizigo ya wateja unapupwa hovyohovyo
Ofisi hiyo ya kupokelea mizigo wanafuga PANYA kuna panya wakubwa wengi wanaaribu mizigo ya watu kwa kuitoboa na kuitafuna. Mzigo wa mteja unakuwa na dhamani wanapopokea hela hukifika awana habari na mizigo ya wateja unapupwa hovyohovyo