Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,232
Mkuu ningekutukana ila nimekuwa kimya kwasababu upande ule wa msimbazi nakuheshimu na tunakutana sana kule
Kuna mwanachadema humu alisema wazi ujio wa Lissu Mbeya kutalipuka.
Mnachoma moto wenyewe mpate kiki za kisiasa.
Hovyo sana nyumbu wa Ufipa.