Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Kuna ofisi kubwa ya ILO (International Labour Organization), naombeni wana JF mnifahamishe zinatuasaidiaje? au zinawasaidiaje wafanyakazi wa Tanzania
1. hasa wanaofanya kazi kima cha chini?
2. Wana finance projects zipi? kwa sasa
3. Kwanini kuna ofisi mbili kubwa hapa kwetu (Dar and Zanzibar)?
1. hasa wanaofanya kazi kima cha chini?
2. Wana finance projects zipi? kwa sasa
3. Kwanini kuna ofisi mbili kubwa hapa kwetu (Dar and Zanzibar)?