SAMAHANI KAMA KUNA MABINTI WATAKAO KASIRIKA, ILA INABIDI TU NICHANGIE KWA HAYA NINAYOYAONA. KWA UFUPI NI KWAMBA DODOMA HAKUNA MABINTI WA KUOA. MKOA HUU UMEHARIBIWA NA WAHESHIMIWA, YAANI KUNA JAMAA YANGU MMOJA AMBAYE TUNAFANYA NAE KAZI,ALIWAHI KUNIELEZA WAKATI NIKIWA BADO MGENI KWAMBA NDUGU YANGU, TANGA NDIKO MAPENZI YALIKOZalIWA, LAKINI HAPA DODOMA NDIPO MAPENZI YALIKOZIKIWA.NDUGU ZANGU HAWA MAAFISA WA SERIKALI PAMOJA NA WAHESHIMIWA WA MJENGONI(SIO WOTE) WANATAfuna sana wake za watu na mabinti wa vyuoni. na wengi wa wanaume waliooa hapa wameshazoea mazingira haya ingawa hawaweki wazi.hata mabinti wa mji huu utawakuta wana - maboyfriend zao (masharobaro) lkn ikifika kipindi cha bunge lololooooooo,tena usiombe mkeo akawa upande wa security utakoma. kwakuwa hawa hufanya kazi mpaka usiku wa manane utakuta wengine wanachakachuana hata ndani ya magari(iwapo watakuwa wamebaki wawili tu, tena wa jinsia tofauti). inasikitisha lakini wenyeji wameshazoea. unaoa lakini unakubali matokeo. inavyoonyesha huyu dogo hakuwa mwenyeji sana wa mji huu thats wy akachukua uamuzi huu mgumu,simlaumu sana kwa kuwa na ukimwi huu, lazima hasira zaweza pitiliza. jamani DODOMA INA WENYEWE,KUNA MABINTI KIBAO TU WANA MAgARI MAZUUUUURI, LAKINI UKIFUATILIA KWA UNDANI,UNAaambiwa aaah, hiyo nyumba ndogo ya muheshimiwa fulani.