Aua Mke na Mkwe wake

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
FESTO Maganga Mkazi wa Seguchini, Kata ya Nala, Wilaya ya Dodoma Mjini, anadaiwa kumuua mkewe na mama mkwe wake, kisha na yeye kuuawa na wananchi. Tukio hilo limetokea jana Jumapili Januari 28, 2024 majira ya saa 10 :30 jioni katika Mtaa wa Seguchini.

Akizungumza na chombo kimoja cha habari, mmoja wa ndugu za marehemu hao, Samwel Lengole amesema wiki iliyopita mama mkwe, ambaye ni mama wa mke wa mtuhumiwa, Anna Ngalai alikwenda kwa mwanaye Maria Joseph kusalimia.

Hata hivyo, amesema (jana saa 10.30 kuelekea saa 12 jioni) pasipo kufahamu ni nini kilitokea, ilikutwa miili ya mama na mtoto wake jikoni ikiwa imechomwa na kitu chenye ncha kali shingoni.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha tukio hilo akisema taarifa atazitoa baadaye.

Source - Nipashe
 
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.

Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.

Safari hii Dodoma wamewajibu Geita na sio njombe Tena,mara wametulia
mara hatuui wanawake
 
FESTO Maganga Mkazi wa Seguchini, Kata ya Nala, Wilaya ya Dodoma Mjini, anadaiwa kumuua mkewe na mama mkwe wake, kisha na yeye kuuawa na wananchi. Tukio hilo limetokea jana Jumapili Januari 28, 2024 majira ya saa 10 :30 jioni katika Mtaa wa Seguchini.

Akizungumza na chombo kimoja cha habari, mmoja wa ndugu za marehemu hao, Samwel Lengole amesema wiki iliyopita mama mkwe, ambaye ni mama wa mke wa mtuhumiwa, Anna Ngalai alikwenda kwa mwanaye Maria Joseph kusalimia.

Hata hivyo, amesema (jana saa 10.30 kuelekea saa 12 jioni) pasipo kufahamu ni nini kilitokea, ilikutwa miili ya mama na mtoto wake jikoni ikiwa imechomwa na kitu chenye ncha kali shingoni.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha tukio hilo akisema taarifa atazitoa baadaye.

Source - Nipashe
tulia basi uje na kisa kamili ikiwemo sababu
 
Kesi kama hizi mara nyingi chanzo huwa ni mama wakwe kutaka kuongoza ndoa za watoto zao refer tukio la yule mwandishi na mume aliyeuwa mama yake na kujiuwa.
 
FESTO Maganga Mkazi wa Seguchini, Kata ya Nala, Wilaya ya Dodoma Mjini, anadaiwa kumuua mkewe na mama mkwe wake, kisha na yeye kuuawa na wananchi. Tukio hilo limetokea jana Jumapili Januari 28, 2024 majira ya saa 10 :30 jioni katika Mtaa wa Seguchini.

Akizungumza na chombo kimoja cha habari, mmoja wa ndugu za marehemu hao, Samwel Lengole amesema wiki iliyopita mama mkwe, ambaye ni mama wa mke wa mtuhumiwa, Anna Ngalai alikwenda kwa mwanaye Maria Joseph kusalimia.

Hata hivyo, amesema (jana saa 10.30 kuelekea saa 12 jioni) pasipo kufahamu ni nini kilitokea, ilikutwa miili ya mama na mtoto wake jikoni ikiwa imechomwa na kitu chenye ncha kali shingoni.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno amethibitisha tukio hilo akisema taarifa atazitoa baadaye.

Source - Nipashe
Ugonjwa wa akili is really.. tusipuuze dalili ndogondogo..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom