Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,284
- 4,330
Kwani atamuoa mtalaka wako?Hujui kwanini nasherehekea ukija kuoa utanielewa
Kaka ulishiriki use.nge ?

Kweli kabisa...wanataka harusi sio ndoaHiv vibint vya siku hizi vinataka sherehe ya Harusi ila sio Ndoa
hahahahaUkivifuatilia kwenye hii post comment zao vinajifanya wife material kumbe aaaah wap ushuzi mtupu
nilistuka huu mtego mapema sanaaa, nikajiweka kandoKweli kabisa...wanataka harusi sio ndoa
Mwenye hekima uona janga na kujificha...wajinga ndio waliwao🤣🤣🤣🤣nilistuka huu mtego mapema sanaaa, nikajiweka kando
nilistuka huu mtego mapema sanaaa, nikajiweka kando
Mdogo wangu watu wakinywa Gambe ni wanakuwa na stress tu hiv una miaka mingapi na unakunya Gambe kweli wewe?Kinywa pombe Ni evidence tosha kwamba umemind Sana na bado unamind kile alichokufanyia mkeo wako.Inatosha kusema Kwamba were ndo uliyepewa talaka na hukuwa tayari kutalikiana na mwenzio.
Ndio maana umeenda kwenye gambe kupunguza stress.BTW, pole kwa kupigwa kitu heavyweight kichwani.
Umeelewa nilichoandika mkuu?Hahahahaha nyinyi ndio mnaouliwa kwenye Mahusiano kisa kuvumiliana