Link 1
Link 2Code:http://www.windowscentral.com/official-windows-10-iso-files-now-available-download
Code:https://www.microsoft.com/en-us/software-download/windows10![]()
![]()
Kwa simu bado hadi mwezi wa 11 kutokana na ripoti mpya.Vipi kuhusu Key Incase ndio ninaInstall kwa mara ya kwanza bila shaka itahitaji key. Swali lingine je? windows 10 Update inapatikanaje kwenye windows phone? je itakuja automatically au hadi kuInitiate update manually?
je? Windows insider itatumika kupata hii full update ambayo sio preview? na je? win 10 update for windows phone tayari ipo hewani au bado tusubiri?
Shukurani sana Mwl.RCT , Chief-Mkwawa snipa
Kaka, ni vema kufanya clean installation ama nifanye upgrade tu??Kwa simu bado hadi mwezi wa 11 kutokana na ripoti mpya.
Kuhusu key kama una windows genuine nafikiri unatumia hizo hizo zako ila kama ni mzee wa kuchakachua subiria crack
Kaka, ni vema kufanya clean installation ama nifanye upgrade tu??
pc zinazokuja na windows 8 keys zinakaa kwenye bios na pc xa windows 7 ni chini ya laptop
Nilipata sms yao lakini mpaka leo hakuna kitu. Naomba kuuliza backup nilazima kufanya?
Nshaanza kuitumia hapa iko poa sana
![]()
Tatizo nimejaribu kuinstall some apps kama dropbox na vlc for windows 8 kutoka store ni kama zinagoma lkn kuna baadhi ya apps zinakubali ku update
Napata error kwenye kuinstall hizi apps
![]()
watu wengi wanasema server zipo busy, subiria baadae ujaribu tena