Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Official Video: Zilipendwa by All WCB Artists

Tushabikie miziki yao na si tuumizwe na mambo ya gizani usiyo kua na uthibitisho nayo .nakuelewesha tu kama wate ni mashabiki wa mziki na si matimu ya kijinga .muziki wao umetufanya tumewajua na si mimba au watoto hayo ni mambo binafsi sana usiumie nayo mkuu
 
Wewe ni Zari au muosha mahari wa Zari mbona unaona wivu
Tushabikie miziki yao na si tuumizwe na mambo ya gizani usiyo kua na uthibitisho nayo .nakuelewesha tu kama wate ni mashabiki wa mziki na si matimu ya kijinga .muziki wao umetufanya tumewajua na si mimba au watoto hayo ni mambo binafsi sana usiumie nayo mkuu
 
Ni ngoma mbovu kuwahi kuiskia kutoka kundi hilo.

Asilimia kubwa ya wimbo wameishia kutaja majina ya watu na vitu, mara amita bachani sijui zuena, upuuzi mtupu.

Huu utaratibu wa kukopi na kupest kazi za wasanii wenzako kwa mgongo wa ubunifu ni dalili za mfa maji, so haishi kutapatapa.

Nimeona karibia wote mmevaa mawigi kichwani, nani kawaambia sisi vijana wa zamani tulikuwa tunafuga nywele wote.

Hayo ni machache kati ya mengi niliyoyaona kwenye hii bolingo yenu
NB: Povu ruksa ili lisiwe la omo na mkimind sana vimbeni mpasuke.

Kuku ni kuku tu jogoo jina
Pambana na hali yako mzee.


Kama ngoma mbovu mbona mnamzungumzia sana?

Kwa nini msipige kimya kimya tu?

Diamond mzee wa minyoosho atawanyoosha mpaka mkome.
 
Ni ngoma mbovu kuwahi kuiskia kutoka kundi hilo.

Asilimia kubwa ya wimbo wameishia kutaja majina ya watu na vitu, mara amita bachani sijui zuena, upuuzi mtupu.

Huu utaratibu wa kukopi na kupest kazi za wasanii wenzako kwa mgongo wa ubunifu ni dalili za mfa maji, so haishi kutapatapa.

Nimeona karibia wote mmevaa mawigi kichwani, nani kawaambia sisi vijana wa zamani tulikuwa tunafuga nywele wote.

Hayo ni machache kati ya mengi niliyoyaona kwenye hii bolingo yenu
NB: Povu ruksa ili lisiwe la omo na mkimind sana vimbeni mpasuke.

Kuku ni kuku tu jogoo jina
Dah !!! Nilikuwa sijaiona video ...jamaa ni very creative aisee.....Beef za kijinga [HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nadhani mashabiki wa alikiba badala ya kuanzisha uzi wa kuuponda mwimbo wa WCB ni bora mngeanzisha uzi wa kusifia nyimbo ya Seduce me maana wahenga walisema mti wa matunda ndo hupigwa mawe mnadhihirisha huo msemo kwa hizi nyuzi zenu mnazotoa kila baada ya masaa mawili..
halafu mnazidi kufanya views ziwe nyingi maana mtu akija humu ndani anasikia nyimbo ya diamond mbaya anavutika kwenda kuisikiliza kuona kaharibu wapi Simba mwenye matuzo laki kidogo
 
5ca2ffcc7731d60d1d317c02478b1f2d.jpg

6f21a17a57dd34ba3cfd7b24aa975473.jpg


Ziache media za burudani ziongeee.
7408ad042bfe56c7224be1639e464f15.jpg
 
Ninachokiona wabongo wengi wanapenda sifa kuliko heshima
 
Back
Top Bottom