Official: Malaysian investigators conclude missing airliner hijacked!

Official: Malaysian investigators conclude missing airliner hijacked!

Malaysia hawahitaji mtalaamu kuwaambia kwamba "he/she think the plane is still in the air or has crashed into the sea''. Each and everyone think that too. I think the plane has crashed into the sea or has been hijacked..
 
That is probably the most viable assumption. But what could have caused the total disappearance of the plane(no fragments) japo nimesikia jesh la china limedai kuona picha(satellite) ya vitu wanavyodai huenda vikawa vipande vya ndege hiyo.

The search hasn't been exhaustive enough to render a comprehensive outcome that there is a total disappearance. There was a plane that crashed nine miles off the coast of Long Island, a known location in the heavily travelled waters of the vicinity of NYC, and it took them three days to find it.

The Malaysians are searching literally all over the map, at least some 27,000 sq miles in all directions, including some based on pure speculation if not outright fantasy.

Of course they haven't seen a thing.
 
Kiranga mbona kama umepotea hivi. Mii nakufuatilia mno tuko pamoja Kaka.

Asante kwa kunifuatilia.

Mara nyingine nakuwa nafanya kazi zangu, kupanga investments, kusoma, na ku entertain wadada wazuri etc.

Sio kila dakika kushinda JF kama addict.

Unaweza kushindwa hata cha kuchangia (kwa mfano, kama unachangia tu bila kujisomea ili kupata vitu quality vya kuchangia).
 
Kwa wale wapendwa vipi hii ishu TB Joshua hajaitabiri or it was beyond his power ya kutabiri...

God made man, man made plane, plane disappeared almost 5days now and still people are guessing where could it be/go/crushed....?
Very confusing indeed.

It can only be confusing if you think everything must have an immediate answer.

Why would anyone think like that, that is what confuses me.

Some things take time to investigate and converge towards the truth.

That's part of the human condition, and as intrinsic as the way of the world or the arrow of time.

Which is not to say that they always need be so, but that is how things are as of now.
 
Inategemea na watu ambao wangekuwepo humo.

Hata hii habari inapata press kubwa kwa sababu kuna Wachina na Wamarekani humo.

Na kwa sababu ajali ya ndege kubwa moja isipoeleweka imetokeaje, inaleta wasiwasi kwa usafiri wa ndege kwa ndege kubwa nyingine zote kama hiyo. Nimesikia kuna Boeing 777 kama 11,000. Isipoeleweka nini kimetokea katika ndege hii, hizo nyingine zote zitakuwa na gundu la kijiba cha kutoeleweka huku.

Huko kwetu Africa ajali zishakuwa kama sehemu ya maisha hata watu hawastuki. MV Bukoba itazama na kuua watu elfu mbili, serikali kwanza itadanganya na kusema watu mia tano, halafu CNN itawaonesha mara moja moja kwa siku mbili, kwenye CNN International huko. Huku kwao kwenye idiocracy ambako kuna watu hata hawajui kwamba kuna nchi inaitwa Tanzania (au hata kati ya Canada na Mexico, ipi iko kaskazini ya Marekani na ipi iko kusini) itatajwa passingly kwenye some weekend edition news items.

Hivi hata tuna reliable figures za watu wangapi wanakufa kwa ajali za barabarani Tanzania?

And you can't blame people (western media) for running their organizations the way they want.

If you do not approve, start your own.
 
Kasheshe zaid ni kwamba simu za waliokuwemo zinapatikana??!!!
 
The search hasn't been exhaustive enough to render a comprehensive outcome that there is a total disappearance. There was a plane that crashed nine miles off the coast of Long Island, a known location in the heavily travelled waters of the vicinity of NYC, and it took them three days to find it.

The Malaysians are searching literally all over the map, at least some 27,000 sq miles in all directions, including some based on pure speculation if not outright fantasy.

Of course they haven't seen a thing.


Yes the Malaysians might not be good enough on the search but there have been at least 42 ships and 39 planes US & Chines included for the search. Is that not exhaustive search? What if the search itself has been hard for the team?
 
Ninachoshangaa ni kwamba na teknolojia ambayo ipo duniani, kwa nini wasifanye kuwa zile data zinazotunzwa kwenye blackbox badala yake ziwe zinawekwa kwenye land based servers in real time? Wangeshatatua hili tatizo zamani.....
 
Yes the Malaysians might not be good enough on the search but there have been at least 42 ships and 39 planes US & Chines included for the search. Is that not exhaustive search? What if the search itself has been hard for the team?

Nakwambia Long Island, which is a stone's throw away from New York City, dege limeanguka, watu wameona lilipoangukia, imewachukua siku tatu kupata mabaki.

Itakuwa hii ambayo hata haijulikani imeangukia wapi?

Do you understand how vast is 27,000 km sq? Do you understand the challenge of searching for debris in a body of moving water?

This means, you just don't start at one point and sweep the 27,000 sq miles. It means you may have to look at the same spot more than twice, because once you start at point A, by the time you are at poin B an object might be swept from point D via point C, going to where you have already searched, point A.

This is not something to be exhausted in a few days.

What if the search itself has been hard for the team? Of course the search is hard for the team, they are searching 27,000 sq km of moving water and tropical jungle with no organization wahatsoever.
 
Nakwambia Long Island, which is a stone's throw away from New York City, dege limeanguka, watu wameona lilipoangukia, imewachukua siku tatu kupata mabaki.

Itakuwa hii ambayo hata haijulikani imeangukia wapi?

Do you understand how vast is 27,000 km sq? Do you understand the challenge of searching for debris in a body of moving water?

This means, you just don't start at one point and sweep the 27,000 sq miles. It means you may have to look at the same spot more than twice, because once you start at point A, by the time you are at poin B an object might be swept from point D via point C, going to where you have already searched, point A.

This is not something to be exhausted in a few days.

What if the search itself has been hard for the team? Of course the search is hard for the team, they are searching 27,000 sq km of moving water and tropical jungle with no organization wahatsoever.


Kweli eneo ni kubwa sana. Tushukuru tu kuwa hali ya hewa imekuwa rafiki japo inaelekea kubadilika. Now let's go to even the more complex issue.
What could be the explanation to the vanishment of the plane in a split of a second. Why could it have been beamed by other facilities(radar & satellite)?
 
Ninachoshangaa ni kwamba na teknolojia ambayo ipo duniani, kwa nini wasifanye kuwa zile data zinazotunzwa kwenye blackbox badala yake ziwe zinawekwa kwenye land based servers in real time? Wangeshatatua hili tatizo zamani.....

Teknolojia nzima ya the so called "black box" inabidi kuwa redesigned, kwa sababu tangu ilipobuniwa mpaka sasa kuna mabadiliko makubwa sana yametokea. Especially in wireless / client server communications. Kuna mtu alisema - sijui jokingly au kwa ukweli- kwamba simu zetu hizi mpya za iPhone/ Android zina memory/ computing capacity kubwa kuliko system ya black box.

Tatizo linakuja unapotaka kubadilisha teknolojia iliyotumika kwa miaka mingi kama hii, inabidi kufanya a very expensive and comprehensive overhaul.

And the cost part may not even be the worst of it, that could be offset by raising ticket prices as usual. Ni huko kwenye kuwa comprehensive ndio kwenye mzozo.

Sitashangaa kusikia watu wana ma blueprint yote lakini wameyakalia, yanakuwa katika projections tu. You have to remember itabidi uwe na consensus ya nchi mbalimbali, mashirika ya ndege mbalimbali etc.

Na tunaona hapa ku search mabaki ya ndege tu mzozo, kila mtu anakuwa ana cheza mind games zinazohusisha intelligence machinations.

Mara mchina atoe picha na kusema kaona mabaki, mara aseme ooh, picha zimetolewa kimakosa.

Hata hatuwezi kuelewana kwenye suala dogo tu kama la a coordinated multinational search.

Ukija kwenye ku upgrade black box technology humo ndio kabisa, hawakawii kusema NSA inataka kuweka vidudu vya kunasa mawasiliano yote ya ndege zote.

Na hivi tunavyopenda anti US conspiracy theories, na mikampuni yenyewe ndiyo hiyo mi Boeing.

It's no easy task, and the hardest of it all is not the technology. It's the geopolitics.

Mambo ya teknolojia mara nyingi sana yanakwamishwa na siasa.

The way to go now is to make a backward compatible but upgraded system, to be used by the usual trendsetters (US, EU, Japan) nchi nyingine zikishaona system imekubalika huko itabidi zifuate tu kama kawaida.
 
Ninachoshangaa ni kwamba na teknolojia ambayo ipo duniani, kwa nini wasifanye kuwa zile data zinazotunzwa kwenye blackbox badala yake ziwe zinawekwa kwenye land based servers in real time? Wangeshatatua hili tatizo zamani.....


Unazungumzia ku-synchronize data za ndege ikiwa angani na servers za aridhini siyo?
 
Kweli eneo ni kubwa sana. Tushukuru tu kuwa hali ya hewa imekuwa rafiki japo inaelekea kubadilika. Now let's go to even the more complex issue.
What could be the explanation to the vanishment of the plane in a split of a second. Why could it have been beamed by other facilities(radar & satellite)?

Firstly we do not know that it vanished in a split second.

Tushaambiwa wa Malay wana entertain the idea kwamba ndege ilipiga a V turn na kupitiliza Malaysia kurudi huku strait of Malacca ( wazee wenzangu waumini wa SANI wanaweza kukumbuka habari za "Pulla Malacca" Malacca yenyewe ndiyo hii)

Kwa hiyo wa Malay wanakubali kwamba kulikuwa na uwezekano wa ndege kuwa angani kwa saa moja bila wao kui detect.

Halafu pia, technology is not infallible. Watu wanaofanya kazi na ku design technology ndio wanajua hili. Watu wanaotumia tu technology wanaamini kwamba technology ni kama uchawi, haiwezi kushindwa kufanya kazi. There is no reason kwamba ndege imepaa na kupata a unique combination of factors ambayo haijaweza kuonekana kabla radar system ika fail pamoja na mambo mengine, ikaanguka.

Inawezekana mtu kalala tu na alitakiwa kurekodi signals hakurekodi, au karekodi lakini kazifuta bila backup!

Ndiyo maana wanahangaika sana kwa udi na uvumba kukipata hicho ki black box, kwa sababu kama kuna tatizo jipya kabisa ambalo halijajulikana bado, wataweza kulijua kwa kuangalia rekodi kwenye hicho kibox.
 
Hivi si wanadai Satellites huwa zinaweza kupin-point eneo lolote hapa duniani? Why can't they use satellites to locate the debris? Hii inaonyesha hata satellites zinakuwa na weakness ama sivyo wamarekani, wachina, wajapan, Waulaya au nchi yoyote yenye hii technology wangeshatambua ndege au mabaki ya hii ndege yalipo. kila siku tunasikia speculations/theories zisizozaa matunda. Afu hili soo lingekuwa limetokea kwa shirika la ndege la Africa najua dunia ingekuwa na maneno mengi ya kipuuzi ya kusema.
RIP walioathiriwa.
 
Back
Top Bottom