Official: Malaysian investigators conclude missing airliner hijacked!

Official: Malaysian investigators conclude missing airliner hijacked!

Hivi tracking system ni kwa vehicles pekeee? what is the use of advance GIS and satelite imaging? naamini database zao zitakuwana ufahamu tosha .. ila la interterrestrial na kuvutwa kwa gravity ya sayari nyingine ni ngumu kumeza.. at what heigh possible kwa hiyo ndege kuweza kuvutwa? kuna tofauti kati ya ndege za abiria, vita na space ship/vehicles naamini

Nakubaliana na wewe mkuu, ndio maana hata aina na uwezo wa engine za vyombo vinavyotoka kwenye eneo la kushinda nguvu ya gravity vina uwezo mkubwa kuliko ndege za kawaida za abiria. Vinginevyo theory nyingi za sayansi zitakua zimekiukwa.
 
Kwa wale wapendwa vipi hii ishu TB Joshua hajaitabiri or it was beyond his power ya kutabiri...

God made man, man made plane, plane disappeared almost 5days now and still people are guessing where could it be/go/crushed....?
Very confusing indeed.

Huyo tapeli mpenda sifa kama alitabiri basi atabiri na ilipo
 
Ninachoshangaa ni kwamba na teknolojia ambayo ipo duniani, kwa nini wasifanye kuwa zile data zinazotunzwa kwenye blackbox badala yake ziwe zinawekwa kwenye land based servers in real time? Wangeshatatua hili tatizo zamani.....

Some things are much easier said (questioned) than done!
 
Itakuwa hii ambayo hata haijulikani imeangukia wapi?

I think until now we don't know for sure kwamba imeanguka. Tunachojua ni kwamba imetoweka na haijulikani ilipo na/ au kilichoikuta hakijulikani.

Sasa, ni kweli kwamba uwezekano wa kuwa imeanguka ni mkubwa sana lakini kwa sasa hatulijui hilo. Na kwa jinsi mambo yalivyo sasa hivi chochote kinaweza kuwa kimeikuta hiyo ndege ikiwemo crash landing msituni ambako hakuna watu.

Na kwa jinsi juhudi zote sasa hivi ni kama zimeelekezwa zaidi majini, usikute labda ilianguka au kutua ardhini na watu wanaisaka kusiko kabisa.

Au usikute ilikuwa commandeered (majuzi tu hapa rubani mwenza wa Ethiopia Airlines alifanya hivyo na ndege ikaenda Uswisi alikokuwa anataka kuomba asylum) na ikaenda kutua in the middle of nowhere na abiria wakashikwa mateka.....

I know some of these theories sound way too far-fetched, but in the absence of knowing what became of it, nothing can be ruled out or in except maybe little green men and gremlins snatching it out of the earth.
 
I think until now we don't know for sure kwamba imeanguka. Tunachojua ni kwamba imetoweka na haijulikani ilipo na/ au kilichoikuta hakijulikani.

Sasa, ni kweli kwamba uwezekano wa kuwa imeanguka ni mkubwa sana lakini kwa sasa hatulijui hilo. Na kwa jinsi mambo yalivyo sasa hivi chochote kinaweza kuwa kimeikuta hiyo ndege ikiwemo crash landing msituni ambako hakuna watu.

Na kwa jinsi juhudi zote sasa hivi ni kama zimeelekezwa zaidi majini, usikute labda ilianguka au kutua ardhini na watu wanaisaka kusiko kabisa.

Au usikute ilikuwa commandeered (majuzi tu hapa rubani mwenza wa Ethiopia Airlines alifanya hivyo na ndege ikaenda Uswisi alikokuwa anataka kuomba asylum) na ikaenda kutua in the middle of nowhere na abiria wakashikwa mateka.....

I know some of these theories sound way too far-fetched, but in the absence of knowing what became of it, nothing can be ruled out or in except maybe little green men and gremlins snatching it out of the earth.

You are forgetting a split in the spacetime continuum bridging the Kaluza-Klein's manifold 11th dimension of this universe to a wormhole tunneling to a neighboring universe in the nearby multiversal coordinates.
 
Ninachoshangaa ni kwamba na teknolojia ambayo ipo duniani, kwa nini wasifanye kuwa zile data zinazotunzwa kwenye blackbox badala yake ziwe zinawekwa kwenye land based servers in real time? Wangeshatatua hili tatizo zamani.....

Swali lako limeniumiza kichwa sana.

Inaonekana kuna namna ya kutuma flight data, not sure kama ziko equivalent na zinazorekodiwa na black box.

Nasoma Daily Kos hapa wanaelezea

Report: Malaysia Airlines Flight 370 was in the air four hours after loss of contact

Aviation investigators and national security officials believe the plane flew for a total of five hours based on data automatically downloaded and sent to the ground from the Boeing Co. 777's engines as part of a routine maintenance and monitoring program ... U.S. counterterrorism officials are pursuing the possibility that a pilot or someone else on board the plane may have diverted it toward an undisclosed location after intentionally turning off the jetliner's transponders to avoid radar detection, according to one person tracking the probe.


From the WSJ
Nyani Ngabu your theory (one of them anyway) is not so crackpot after all.

But of course, as soon as I learn this, the geopolitical football of statement and denials starts to rain.

Officials: Malaysian plane may have flown long after last contact

Officials: Malaysia Airlines Flight 370 may have flown for hours - CNN.com

Malaysia Airlines jet may have crashed into Indian Ocean; authorities say flight did NOT fly for 4 hours after disappearing, photos of debris debunked

Read more: Malaysia Airlines jet may have crashed into Indian Ocean; authorities say flight did NOT fly for 4 hours after disappearing, photos of debris debunked - NY Daily News
 
You are forgetting a split in the spacetime continuum bridging the Kaluza-Klein's manifold 11th dimension of this universe to a wormhole tunneling to a neighboring universe in the nearby multiversal coordinates.

Duh, mkuu fafanua kidogo maana ni balaa
 
Duh, mkuu fafanua kidogo maana ni balaa

Just jiving.

Even though on the level of some Michio Kaku crossed with Stephen Hawking sprinkled with Roger Penrose and finally stirred with a dash of Brian Greene.
 
Naona sasa wamekuja na theory kwamba kulitokea cabin pressurization na watu wote ndani ya ndege wakafa kwa kukosa oxygen na ndege ikaendelea kujiendesha yenyewe hadi ikaishiwa gas!
 
Naona sasa wamekuja na theory kwamba kulitokea cabin pressurization na watu wote ndani ya ndege wakafa kwa kukosa oxygen na ndege ikaendelea kujiendesha yenyewe hadi ikaishiwa gas!
No this happen on the horizon peak at plane vertex. As the radar detect it at >10,000m mean level , this can't cause inhalation ..ole
 
From the WSJ
Nyani Ngabu your theory (one of them anyway) is not so crackpot after all.

But of course, as soon as I learn this, the geopolitical football of statement and denials starts to rain.

This disappearance has everybody stumped! A multinational search effort, with all the latest in technological assets including the Americans' has yielded absolutely nothing going on the seventh day now.

I'm sitting here listening to some of these American talking heads criticize the Malaysian officials for bungling the search (and rescue) operation from the start apparently forgetting that American assets and personnel are also knee-deeply involved!

And in the absence of knowledge kooky theories are inevitable. So I wouldn't rule out the gremlins just yet.
 
This disappearance has everybody stumped! A multinational search effort, with all the latest in technological assets including the Americans' has yielded absolutely nothing going on the seventh day now.

I'm sitting here listening to some of these American talking heads criticize the Malaysian officials for bungling the search (and rescue) operation from the start apparently forgetting that American assets and personnel are also knee-deeply involved!

And in the absence of knowledge kooky theories are inevitable. So I wouldn't rule out the gremlins just yet.

The Americans could argue they do not have control due to jurisdiction issues, hence their involvement, however deep it may seem, is largely peripheral. There is a whole range of issues involved here, not least of all national pride, geopolitics and intelligence concerns.
 
The Americans could argue they do not have control due to jurisdiction issues, hence their involvement, however deep it may seem, is largely peripheral. There a whole range of issues involved here, not least of all national pride, geopolitics and intelligence concerns.

Yeah I get that, but, one would also think that if they can claim to know which country is about to test-fire some type of nuclear-capable intercontinental ballistic missile no matter where it is, if they can send man to the moon, if they can send unmanned spacecrafts to Mars, and also including the fact that the plane is American made, then it shouldn't be this difficult at least to even have an inkling of what happened to it.

But now, as far as what is being communicated to the public, we know nothing about that missing plane.
 
Ngoja nilale tu nimechoka na,mambo haya ya hii ndege.kama si bunge la katiba basi tungekuwa tumemtuma pro maji marwfu kamaliza hii kazi
 

Attachments

  • 1394755719400.jpg
    1394755719400.jpg
    65.1 KB · Views: 85
Firstly we do not know that it vanished in a split second.

Tushaambiwa wa Malay wana entertain the idea kwamba ndege ilipiga a V turn na kupitiliza Malaysia kurudi huku strait of Malacca ( wazee wenzangu waumini wa SANI wanaweza kukumbuka habari za "Pulla Malacca" Malacca yenyewe ndiyo hii)

Kwa hiyo wa Malay wanakubali kwamba kulikuwa na uwezekano wa ndege kuwa angani kwa saa moja bila wao kui detect.

Halafu pia, technology is not infallible. Watu wanaofanya kazi na ku design technology ndio wanajua hili. Watu wanaotumia tu technology wanaamini kwamba technology ni kama uchawi, haiwezi kushindwa kufanya kazi. There is no reason kwamba ndege imepaa na kupata a unique combination of factors ambayo haijaweza kuonekana kabla radar system ika fail pamoja na mambo mengine, ikaanguka.

Inawezekana mtu kalala tu na alitakiwa kurekodi signals hakurekodi, au karekodi lakini kazifuta bila backup!

Ndiyo maana wanahangaika sana kwa udi na uvumba kukipata hicho ki black box, kwa sababu kama kuna tatizo jipya kabisa ambalo halijajulikana bado, wataweza kulijua kwa kuangalia rekodi kwenye hicho kibox.


Kuna kitu kimoja nadhani wengi tumeki-overlook, ni kweli inaonekana ndege ilipotea kwenye radar system na hii ni baada ya transponder ya ndege kuzima/kuzimwa makusudi.
 
Yeah I get that, but, one would also think that if they can claim to know which country is about to test-fire some type of nuclear-capable intercontinental ballistic missile no matter where it is, if they can send man to the moon, if they can send unmanned spacecrafts to Mars, and also including the fact that the plane is American made, then it shouldn't be this difficult at least to even have an inkling of what happened to it.

But now, as far as what is being communicated to the public, we know nothing about that missing plane.


Kama alivyosema Kiranga, hapa kuna tatizo la geopolitics. Inawezekana kabisa kuwa hawa wa malay wanaficha vitu fulani kwa wachunguzi wa nje kwa aidha kuhofia kuonesha uzembe waliofanya au kuhofia kuibiwa siri zao za ndani.
Huu ujinga unapelekea zoezi kuwa gumu kwakuwa watafutaji hawafanyi kazi kama timu moja.
 
Jingine linalohusiana na wanasiasa ni kuwa, aina ya mawasiliano inayotumika(black box, ping, transponder) kwenye ndege inahitaji mabadiliko lakini mabadiliko yamekuwa taratibu sana japo teknologia yetu iko mbali sana. Na sabubu ni zilezile, watu wanashindwa kuzitumia hizo teknologia kwa sababu za kibinafisi zaidi, hasa siasa na kutoaminiana(kama alivyosema Kiranga)
 
Mkuu, umeipata wapi hii ya cellphone kuendelea kuita?

Kwenye news inapatikana. Wala si simu tu bali hata wale waliokuwa wanatumia social media kama Facebook and Twitter, account zao zinaonekana kuwa active... Fwatilia news usisubiri kulishwa!
 
Back
Top Bottom