Official: Malaysian investigators conclude missing airliner hijacked!

Official: Malaysian investigators conclude missing airliner hijacked!

Kweli ni hatari sana kuwa no traces of the plane todate. Na technology yao hiyo tungetegemea kuwa wangeshapata clue of the remnants.
 
Hili tukio limesikitisha sana.natafakari ingekuwa ndege yetu tz sijui tungetumia nini kuitafuta au ndio tungesema kazi yake mola haina makosa tukaweka siku ya maombolezo na habari ikaishia hapo
 
Hili tukio limesikitisha sana.natafakari ingekuwa ndege yetu tz sijui tungetumia nini kuitafuta au ndio tungesema kazi yake mola haina makosa tukaweka siku ya maombolezo na habari ikaishia hapo

Thailand wenyewe wameshindwa. Wanasaidiwa na China na Marekani. Sembuse sisi...tungeomba msaada tu mweeeh
 
Kwa wale wapendwa vipi hii ishu TB Joshua hajaitabiri or it was beyond his power ya kutabiri...

God made man, man made plane, plane disappeared almost 5days now and still people are guessing where could it be/go/crushed....?
Very confusing indeed.

That charlatan....
 
Hili tukio limesikitisha sana.natafakari ingekuwa ndege yetu tz sijui tungetumia nini kuitafuta au ndio tungesema kazi yake mola haina makosa tukaweka siku ya maombolezo na habari ikaishia hapo

Kinachotuuma sio ndege ni ndugu zetu walioacha wajane na yatima kwahiyo kupatikana au kutopatikana hakusaidii
 
Very interesting...! No one knows where the plane could be!
 
kuna post moja jana iliongelea habari za gravity. kwamba labda ndege ilipaa juu zaidi ya upeo wa kuvutuwa na gravity na sayari dunia kwa hiyo imevutwa kuelekea juu. Kabla ya hii speculation ya CIA nilitaka kuamini hiyo theory ya gravity. baada ya hili la CIA sasa inachanganya kabisa.... nadhani CIA watakuwa na taarifa zaidi.
Mkuu navyoelewa gravity always pulls something down. Afu mara nyingi ndege zinapaa between 20,000 ft na 40,000ft, nilivyosikia hii ndege ilikuwa katika 40,000ft kabla ya kupoteza mawasiliano.. All in all hakuna kinachojulikana juu ya hii ndege, nadhani hii ndege ilianguka kama ile ya ufaransa iliyokuwa inatoka Brazil miaka michache iliyopita ambayo nayo ilichukuwa muda kupata mabaki baharini(ingawaje ilijulikana kilichotokea sio kama hii)
 
Intentionally pilots waliizamisha ndege baharini tena nose dive
Mkuu swali kwa hoja yako ni kwamba ingeonekana kwenye radar wakati ikitoka angani kuelekea aldhini!. Radar huweza kuona kitu angani hata kama hakitumi mawasiliano. Hii ndege ilipotea kwenye radar kama mwanga wa tochi upoteavyo ukiizima!
 
Back
Top Bottom