Official: Malaysian investigators conclude missing airliner hijacked!

Official: Malaysian investigators conclude missing airliner hijacked!

We still have a very long way to go ndugu zangu. Kweli mbwembwe zote za wamarekani, na ulaya, china na hapo kati(israel). Ujanja wetu wote wa kivita na teknologia, dude kubwa kama lile, leo tunaelekea siku ya 4, hatujui lilipo?
Inasikitisha sana, na tusijione wajanja sana.
Kiranga njoo utu-console.

Tukio hili ni la kushangaza sanaaa yani ts confusing sio kidogo
 
T.B Joshua yeye na supernatural power na anajua wapi ilipo na kasema dege limezama baharini kwenye kina kirefu na lipo ndani ya tope ila kasema ndani ya siku chache mabaki yatatokezea juu
 
T.B Joshua yeye na supernatural power na anajua wapi ilipo na kasema dege limezama baharini kwenye kina kirefu na lipo ndani ya tope ila kasema ndani ya siku chache mabaki yatatokezea juu

But how does he explain the ringing phones? This is a puzzle.
 
kuna post moja jana iliongelea habari za gravity. kwamba labda ndege ilipaa juu zaidi ya upeo wa kuvutuwa na gravity na sayari dunia kwa hiyo imevutwa kuelekea juu. Kabla ya hii speculation ya CIA nilitaka kuamini hiyo theory ya gravity. baada ya hili la CIA sasa inachanganya kabisa.... nadhani CIA watakuwa na taarifa zaidi.

Very unlikely indeed, the nearest planet is thousands of miles away.
 
Anothe question if the cellphones are still calling kwanini wasi TRACK NA SATELLITE zi/ilipo hiyo simu?
wanatuzingua aisee confusing confusing!!

Yes you have a point, this could give certain leads if indeed the phones are still ringing.
 
Yes you have a point, this could give certain leads if indeed the phones are still ringing.

Is the cellphones inside the plane still calling/ringing??????? I can bet a million dollar if so, most probably is not so, where did you get this??
 
Is the cellphones inside the plane still calling/ringing??????? I can bet a million dollar if so, most probably is not so, where did you get this??

There were reports to this effect in the internet, let me fish for a link. I will post it shortly.
 
We still have a very long way to go ndugu zangu. Kweli mbwembwe zote za wamarekani, na ulaya, china na hapo kati(israel). Ujanja wetu wote wa kivita na teknologia, dude kubwa kama lile, leo tunaelekea siku ya 4, hatujui lilipo?
Inasikitisha sana, na tusijione wajanja sana.
Kiranga njoo utu-console.

Ngoja nikusaidie kumuita labda anaweza akawa anajua nini kimeisibu hiyo ndege, maana kama anaamini dunia na wanadamu hawakuumbwa(maana anaamini kuwa hakuna Mungu), labda sayansi yake yaweza kuwa na jibu la wapi iliko.
c.c Kiranga
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikusaidie kumuita labda anaweza akawa anajua nini kimeisibu hiyo ndege, maana kama anaamini dunia na wanadamu hawakuumbwa(maana anaamini kuwa hakuna Mungu), labda sayansi yake yaweza kuwa na jibu la wapi iliko.
c.c Kiranga

Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye mapenzi yote hawezi kuumba ulimwengu ambao inawezekana maidege kupotea tu bila kujulikana ilipo.

That would be contrary to all the three above mentioned natures.

Paraphrasing words of Nyerere, nguvu ya kuumba ulimwengu ambao habari hizi haziwezekani anayo, ujuzi anao, upendo anao kwa nini asiuumbe?
 
Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye mapenzi yote hawezi kuumba ulimwengu ambao inawezekana maidege kupotea tu bila kujulikana ilipo.

That would be contrary to all the three above mentioned natures.

Paraphrasing words of Nyerere, nguvu ya kuumba ulimwengu ambao habari hizi haziwezekani anayo, ujuzi anao, upendo anao kwa nini asiuumbe?


With all due respect sir, can we try to imagine/assume as to what could have happaned to that flightline with the passenger onboard?
Karibu mkuu.
 
Hii ni mystery kubwa sana.Nimekumbuka series ya LOST
 
Anothe question if the cellphones are still calling kwanini wasi TRACK NA SATELLITE zi/ilipo hiyo simu?
wanatuzingua aisee confusing confusing!!
Mkuu taratibu,tupo makini na hili tukio.
 
With all due respect sir, can we try to imagine/assume as to what could have happaned to that flightline with the passenger onboard?
Karibu mkuu.

I am not too much into assuming, but since you asked, it wouldn't surprise me to hear that the plane crashed suddenly on it's original flight path.

If that is the case, then the family of the Iranis is owed an apology, because everybody and their grandma was jumping to the conclusion that simply because you have two Irani guys onboard, with questionable passports, then terrorism must be involved.

Occam's razor principle should apply here.
 
kuna post moja jana iliongelea habari za gravity. kwamba labda ndege ilipaa juu zaidi ya upeo wa kuvutuwa na gravity na sayari dunia kwa hiyo imevutwa kuelekea juu. Kabla ya hii speculation ya CIA nilitaka kuamini hiyo theory ya gravity. baada ya hili la CIA sasa inachanganya kabisa.... nadhani CIA watakuwa na taarifa zaidi.

The escape velocity from earth is 40,248 km/ h. The Boeing 777 top speed is 950 km/h.

Moreover, to escape the earth's gravity, one need not only be travelling at more than 40,248 km/h , but also be travelling away from the earth (not "horizontally" above the surface of the earth as airplanes do).

In any case, passenger airlines hardly go above 42,000 feet. The cabin pressure will not permit flying higher. The most sophisticated B-52 bombers can go up to 56,000 feet, which is not even above the ozone layer, a little bit under twice the height of Mount Everest.

Whoever posed that theory does not understand how gravity works, and what is needed to attain escape velocity.
 
Back
Top Bottom