Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,417
- 12,583
Asante sanaa Mama mchungaji😂
Asante sanaa Mama mchungaji😂
😂😂😂naahidi leo sitokuangusha usiku mpaka ujingate yan... Kwa kuotwa
Wacha weee!naahidi leo sitokuangusha usiku mpaka ujingate yan... Kwa kuotwa
Leo ndo leo sema simba kaniharibia tu usingizi wangu
ambaye ni msichana, hamjui mume!Zipi characteristics za ucha Mungu?
WoyoooLeo ndo leo sema simba kaniharibia tu usingizi wangu
😍💣💥🙏Hakikisha sana unaoa Mwanamke mcha Mungu. Mwanamke ambaye ataibarikisha familia yako. Atakuombea na kusali pamoja
Atawafanya watoto wako wakue wenye Hekima na Maadili..yaan mtoto anakua anajua wizi ni dhambi, Uvivu ni dhambi, kuongopa ni dhambi, uzinzi ni dhambi, kuvaa nusu uchi dhambiiii. Kwani wakuu mifano simnayo?
OYA, OENI WANAWAKE WACHA MUNGU
Kwani akiwa mcha Mungu anakatazwa yale ya chumbani?Siwezi oa mlokole. I'll take an openly dirty woman over a hypocrite any day.
Keyword: openly dirtyKwani akiwa mcha Mungu anakatazwa yale ya chumbani?
Au ni yepi hayo
Mkuu Carlos The Jackal unazungumziaje swala la mpendwa katika Bwana Saint Anne kushabikia yanga😂Woyooo
Kumbe unashabikia mbumbumbu malalamiko fc?
Ngoja basi nikuzomee kidogoView attachment 1786383
Sent using Jamii Forums mobile app
😳😳.....mlokole swala tanomlokole swala tano
Tuwaulize Yanga wanasema niniMkuu Carlos The Jackal unazungumziaje swala la mpendwa katika Bwana Saint Anne kushabikia yanga
wanakoroma tuu
Utawajua kwa kipimio ganiHakikisha sana unaoa Mwanamke mcha Mungu. Mwanamke ambaye ataibarikisha familia yako. Atakuombea na kusali pamoja
Atawafanya watoto wako wakue wenye Hekima na Maadili..yaan mtoto anakua anajua wizi ni dhambi, Uvivu ni dhambi, kuongopa ni dhambi, uzinzi ni dhambi, kuvaa nusu uchi dhambiiii. Kwani wakuu mifano simnayo?
OYA, OENI WANAWAKE WACHA MUNGU