Odinga umeshapotea achana na Tanzania!!

Odinga umeshapotea achana na Tanzania!!

Nimeangalia Gazeti la mtanzania Leo nikakutana na ukakasi eti anajigeuza mshauri wa watanzania upuuzi mtupu siasa za kenya zimemshinda analukia za Tanzania ni ujinga wa hali ya juu!!
Eti anawashaanga wapinzani kutokaa na kuelewana na Tulia!!

Eti ana siri kwa nini magufuli amezuia maandamano!!!

Huu ni unafiki wa kiwango cha PhD kwako umpige mkeo kwa jilani uzuie mwanamke asipigwe??

Odinga umefilisika kisiasa wakenya wamekuupuuza sasa umeamia Tanzania?


Hivi ilikuwa lini mpinzani wa Tanzania alienda Kenya kuongelea siasa za huko mnikumbushe!!!
Mwanaume wa Kenya
 
Hii maneno ungemshauri baba J, ingekua vizuri sana
Haaaaaah mpendazoe ndiye kanichekesha sana et jpm anpewa ushauri na baraza la mawaziri na ccm hivi uo ushauri ccm kwanini hawakuutoa kwa jk lakini wampe magufuli!!!
Mpaka asababishe uhaba wa sukari
 
Acha woga, wenzio/huyu (w)ameshaamua kufa. Life has no meaning to them! Tuko tofauti! ( Ila mods futa hiyo isije ikaleta shida kwenye mtandao wenu kufungiwa)
Sasa wewe unamwambia mwenzako aache woga, halafu unawaambia mods wafute maneno yangu kwa woga?

Practice what you preach.
 
Sasa wewe unamwambia mwenzako aache woga, halafu unawaambia mods wafute maneno yangu kwa woga?

Practice what you preach.
Hujanielewa, JF wanaweza kufungiwa mtandao wao kwa kuruhusu maneno makali kwa Rais! Hope we are together now! Siyo yule aliyeandika, yeye ameshajitoa sadaka, come what may!
 
Hili jamaa litatengeza noti hii miaka mitano mpaka mtashangaa,
huyu ni businessman,yaani hachezi mbali,kandarasi hizi zitakuwa utelezi tu juu ya ganda la ndizi
 
Hili jamaa litatengeza noti hii miaka mitano mpaka mtashangaa,
huyu ni businessman,yaani hachezi mbali,kandarasi hizi zitakuwa utelezi tu juu ya ganda la ndizi
Kumbe unamjua yuko na makampuny ya ujenzi, It company na mambo ya gesi !!!
 
Namshukuru Mungu kwamba Magufuli ameanza kufanya haya mambo mapema hata ikitokea asipochaguliwa uchaguzi ujao(maana idadi ya majuha inaongezeka kwa kasi)taifa litakuwa limepiga hatua.
Hatua anazochukua Magufuli kuliweka hili taifa kwenye mstari ulionyooka naziunga mkono100%
 
Hujanielewa, JF wanaweza kufungiwa mtandao wao kwa kuruhusu maneno makali kwa Rais! Hope we are together now! Siyo yule aliyeandika, yeye ameshajitoa sadaka, come what may!

Unajuaje kwamba sijakuelewa?

Kipi ambacho sijakuelewa na umejiridhisha kivipi kwamba sijakuelewa bila hata ya kuniuliza nilichoelewa ni kipi?

Kwanini JF wasiweze kupinga kufungiwa kwa kufungua kesi mahakamani?

Kama JF motto yetu ni "Where We Dare To Talk Openly" kwa nini JF as a forum tuogope kusema ukweli wazi?
 
Namshukuru Mungu kwamba Magufuli ameanza kufanya haya mambo mapema hata ikitokea asipochaguliwa uchaguzi ujao(maana idadi ya majuha inaongezeka kwa kasi)taifa litakuwa limepiga hatua.
Hatua anazochukua Magufuli kuliweka hili taifa kwenye mstari ulionyooka naziunga mkono100%
Kivipi?
 
Back
Top Bottom