technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,557
- 57,856
- Thread starter
- #41
Haaaaaah yakweli hayoAnatafuta urafiki na baba J ili asaidiwe vikosi wakati wa uchaguzi. Asituingize kwenye mambo yao ya vita vya uchaguzi sisi tulishamalizana na uchaguzi sasa hivi tuna mambo yetu ya ukuta, hapa kazi tu, mwendo kasi, watumishi hewa, kutumbua majipu, kurudia chaguzi ndogo n.k
Anatafuta urafiki na baba J ili asaidiwe vikosi wakati wa uchaguzi. Asituingize kwenye mambo yao ya vita vya uchaguzi sisi tulishamalizana na uchaguzi sasa hivi tuna mambo yetu ya ukuta, hapa kazi tu, mwendo kasi, watumishi hewa, kutumbua majipu, kurudia chaguzi ndogo n.k