Odinga umeshapotea achana na Tanzania!!

Odinga umeshapotea achana na Tanzania!!

Nimeangalia Gazeti la mtanzania Leo nikakutana na ukakasi eti anajigeuza mshauri wa watanzania upuuzi mtupu siasa za kenya zimemshinda analukia za Tanzania ni ujinga wa hali ya juu!!
Eti anawashaanga wapinzani kutokaa na kuelewana na Tulia!!

Eti ana siri kwa nini magufuli amezuia maandamano!!!

Huu ni unafiki wa kiwango cha PhD kwako umpige mkeo kwa jilani uzuie mwanamke asipigwe??

Odinga umefilisika kisiasa wakenya wamekuupuuza sasa umeamia Tanzania?


Hivi ilikuwa lini mpinzani wa Tanzania alienda Kenya kuongelea siasa za huko mnikumbushe!!!
hana lolote aende zake huyo
 
Anaurafiki wa kitambo Sana na Mkuu ss naona anajaribu kujiwekaweka angalau apate headlines lkn ni upuuzi tu usio na mashiko. Hivi wanazuia vyakula kuuzwa Kenya ili wamtoe aliye madarakani mbinu mgando Sana hizo wafanyabiashara wanaumia surplus kibao perishable goods zinawaletea headache kila kukicha hamna mtetezi. Yaan hyu raila angajifungia tu mdomo asitake kuamsha vilivyolala.
Mkuu kumbe nawewe umeliona hilo odinga eti anataka kumtoa Uhuru kwa kutumia mbinu chafu kama hizo wakati mwenzie anonekana ni mzarendo na mpenda democrasia kila wakenya wanachokidai yeye anawapa !!
Juzi wametoka kuomba time huru tayari amekubali !!!
 
Hahaha eti odinga amfunde Lowasa anachekesha.
 
Odinga anatumia vizuri Ruzuku kutoka serikalini, Anatumia ofisi yenye hadhi ya chama kikuu cha upinzani kenya.

Odinga habadili katiba ya chama kukifanya cha ukanda na udikteta ndani ya chama.

Odinga anarusuhu kukosolewa ndani ya chama
Na kila mtu kuwa na maoni yake.

Kwahio huyo si mwanachama Msaka Tonge wala Kibendera
Tangu lini umeanza kupakatwa?
 
Unasikia!!?
mbowe mwenyekiti bado huja balehe mpaka sasa una mtoto bado mwenyekiti
Wajinga hawataisha duniani; huyo odingwe wako anatakiwa akaondoe ukabila kwanza kenya; atumie nguvu nyingi kuwashauri wakenya wenzake kuacha siasa na dini za ukabila;

kwa hali ilivyo kenya yaani kama mchungaji au shekhe ni luo; waumini wote ni luo ibada zote ni kiluo hata kama kuna wachache wasioluo; kwakikuyu ni hivyohivyo; kila kabila lina chama chake cha siasa; odinga alishazoea kushauri ukabila kwa tz hawezi maana hatuna silogani ya kikabila;
 
Hilo swali muulize mamako
sawa mzibua choo wa lumumba na mkata viuno wao,,, tatizo sio wewe ni yule alie kuleta duniani kupitia mikesha ya mwenge ndio maana humjui baba yako ni nan,,, sura kama ngozi ya goti
 
sawa mzibua choo wa lumumba na mkata viuno wao,,, tatizo sio wewe ni yule alie kuleta duniani kupitia mikesha ya mwenge ndio maana humjui baba yako ni nan,,, sura kama ngozi ya goti
Hehehe
Umesha muuliza swali ?!
 
Nimeangalia Gazeti la mtanzania Leo nikakutana na ukakasi eti anajigeuza mshauri wa watanzania upuuzi mtupu siasa za kenya zimemshinda analukia za Tanzania ni ujinga wa hali ya juu!!
Eti anawashaanga wapinzani kutokaa na kuelewana na Tulia!!

Eti ana siri kwa nini magufuli amezuia maandamano!!!

Huu ni unafiki wa kiwango cha PhD kwako umpige mkeo kwa jilani uzuie mwanamke asipigwe??

Odinga umefilisika kisiasa wakenya wamekuupuuza sasa umeamia Tanzania?


Hivi ilikuwa lini mpinzani wa Tanzania alienda Kenya kuongelea siasa za huko mnikumbushe!!!
Kama kawaida yenu kutoa povu mnaposikia habari hasi dhidi yenu
Hivi kuna mpinzani Tanzania unaeweza kumlinganisha na Odinga?
 
Kama kawaida yenu kutoa povu mnaposikia habari hasi dhidi yenu
Hivi kuna mpinzani Tanzania unaeweza kumlinganisha na Odinga?
Mpinzani gani uyo mjinga tu na ukabila aende kwao ashugulikie mambo ya ODM kinameguka baada ya Ababu Namwamba kumuachia chama!!!
 
Odinga kwa nini anafanya ziaranyingi kuliko rais wa Kenya? Anakuja kuchangisha hela za kampeni? Anataka kutugombanisha na wakenya?
 
Back
Top Bottom