Vaa viatu vya ndugu, jamaa, marafiki wa hawa wote...
Kama bado moyo wako unapiga, na bado damu yako inatiririka ndani ya mishipa,
Huwezi kukaa kimya kwenye taifa ambalo UHAI WA MTU NI KAMA WA KUKU, yaani mtu mmoja anaweza kuamua tu KIJINGA JINGA LEO USIWEPO na kesho TUNAOKOTA MAITI YAKO au FAMILIA INASIMULIA ULIVYOCHUKULIWA NA MANINJA au WATU WENYE GARI LA POLISI AU NAMBA ZA SERIKALI KAMA STJ, STK nakadhalika!
Kama USALAMA WA TAIFA (Watu na mali zao, rasilimali za nchi) SI KIPAUMBELE CHA UTAWALA, tunawezaje KUKAA KIMYA NA KUSUBIRI MIAKA 5 TENA YA NAMNA HII? KATU, ABADANI, MUNGU HATARUHUSU HILO, NA WENYE NCHI, WANANCHI HAWATARUHUSU HILO NG'O!
Kwenye VIDEO HII, hata uwe CCM, CHADEMA au CHAMA CHA SHETANI, huwezi KUBAKI ULIVYO, maana, WAKIZOEA KUUA NA KUTEKATEKA NA TUMEKAA KIMYA, ZAMU IJAYO NI YAKO UNAYESOMA NA KUCOMMENT,
NA OKTOBA HII, KAMA MUNGU AISHIVYO WAMEFIKA MWISHO, WANAOSAFIRI HAWAFIKI WAENDAKO! HAWAFIKI, HAWAFIKI NA HAWAFIKIIIIII....