Nitaisikitikia sana nchi yetu hii kama haya yataachwa yaendelee kama yalivyo pangwa na waovu hawa!
Ni vigumu sana kuamini kuwa kweli hii ni Tanzania kunakofanyika upuuzi wa ajabu sana huu.
Mwanamke asiye kuwa na sifa zozote za uongozi; akili kichwani kiduchi kabisa; tena toka nchi jirani, ambaye hata asili yake haijulikani vizuri; anaamua kulazimisha kuwatawala watu zaidi ya milioni 60!
Katika utawala wa miaka minne, kila uchafu umeonekana; tena anafanya kama hakuna anayeweza kuhoji chochote; na watu wakihoji, anajiita chura kiziwi asisikie kelele za waTanzania wakililia raslimali zao zinazosombwa.
Huyu mtu sasa analazimisha kwa nguvu abaki madarakani ili afanye uharibifu mkubwa zaidi!
Nchi nzima hii, hakuna wa kumzuia?
Hapana. Mimi namtabilia mwisho wake. na asipokuwa mwangalifu atapoteza kila kitu hadi uhai wake.