Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,991
- 146,309
Waafrika kwa ubaguzi wa rangi tu hatujambo.
Kaja George Bush kamwaga misaada ya kupigana na Malaria hawakumpa hata kimtaa cha mkia kama cha Joshua Nkomo pale SHIHATA.
Obama hata hajafika washampa Ocean Road yetu, wengine vitovu vyetu vimetupwa hapo mkibadilisha jina la barabara numerology zitakataa kukubaliana mambo yetu yatakosa kwenda sawa /s 🙁
Kaja George Bush kamwaga misaada ya kupigana na Malaria hawakumpa hata kimtaa cha mkia kama cha Joshua Nkomo pale SHIHATA.
Obama hata hajafika washampa Ocean Road yetu, wengine vitovu vyetu vimetupwa hapo mkibadilisha jina la barabara numerology zitakataa kukubaliana mambo yetu yatakosa kwenda sawa /s 🙁