Atashinda tu,
Ukiwa mweusi, ukaitwa mweusi hujabaguliwa, utakuwa umebaguliwa ikiwa utanyimwa haki zako za kimsingi kwa sababu ya unavyoonekana.
Hilary clinton ndio hafai kabisa. Alisababisha mumewe kuinajisi white house.
Pamoja na kujua uchafu ule wa mumewe hakuchukua hatua zozote za kujitenga nao (iwe kwa kudai talaka au kumshitaki "pashkuna mramba koni") kwa maneno nyoofu ni kuwa ali engineers zile blow Jo..
Hakuna mwanamke amemshtaki Trump kanakwamba amemdhalilisha, matamshi yake faraghani yanabaki kuwa ya faraghani..
Business inatawala dunia, tunataka businessman aongoze taifa hili kubwa.
Mlikuwa na kiu (wafrika) mwafrika aongoze taifa kubwa mkitarajia makubwa, kwa mshangao wenu mpaka anamaliza uongozi wake hakuna nafuu wala upendeleo wowote mliopata toka kwake zaidi sana mmezidi kuwa weusiiiii tii (rangi yenu mnayoichukia kupita maelezo)
UJANJA UJANJA WA KINA CLINTON HAUNA NAFASI.
Trump akiingia madarakani kwanza kwa Mtu mweusi atabaguliwa sanaa....simaanishi mtu mweusi mwenye colour nyeusi bali naamaanisha mtu mweusi kitaifa (Mwarabu, Mtz, mkenya etc.)