Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
- Thread starter
- #21
Ni kweli kabisa ndio Maana Hapa Marekani kuna Makundi mengi sana katika wale ambao wanajiita Pure Conservatives na hata ukienda baadhi ya sehemu utaona tofauti kubwa sana jamii na jamii. Siku moja nilikuwa katika lectures za African History chuo Hapa America na hivyo watu wengi sana America wanaogopa sana kuona kuwa Socialism za Obama na Niliongea baadhi ya watu toka Republican wa South wengi wanaona hivyo. Lakini mfumo wa afya America ni mbovu sanaAnajaribu ku stay above the frey lakini anaonekana kukubaliana zaidi na ideas za liberals kwenye misimamo yake mingi,na ideas za liberals zinashabihiana sana na socialism kwa mfano public health care,the so called big government etc. Hata hivyo term "Socialism" Nayo imekuwa misused na wamerekani kwasababu ya kutoelewa kuwa elements za socialism always zimekuwepo ila hawajawahi kupactice full socialism na sidhani kama hiyo ndiyo nia ya Obama.Issue ya socialism imekuwa ikiwa hunt wamarekani through out their history especially pale serikali zao zilipoamua kuchukua maamuzi magumu mfano halisi ni medicare yenyewe na hata social security.