luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
wale wenye roho za kunguni cjui wanajisikiaje kuhusu kauli hii ya obama
nilikuwa nimepigwa ban mkuu cjui tatizo nnn?
wale wenye roho za kunguni cjui wanajisikiaje kuhusu kauli hii ya obama
wape vidonge mkuuAnayeweweseka humjui? Mwambieni ampe kiwanja Obama huko Ruaha Iringa.
Tatizo mnapoibaguwa kaskazini mnasahau aliyekuzidi kakuzidi tu, kubali kujifunza toka kwao.
hAhAha sina mbavuKule hata ustaarabu wa kunya kwenye vyoo bado haujaeleweka sasa utamuinspire vipi Obama? Mpaka waache kunya ziwani kwanza.
we endelea na nyumba ntobu yako hapo kemakorere,kaskazn iliendelea zamani mno mkuukwanini mnadhani kanda ya kaskazini ni special Sana?
mnadhani mnaweza fanya nini mkiachwa peke yen?
kwanini mnajishitukia?
si ajabu karibu kila nyumba ya mchaga kuna Licha,
msitudanganye kwamba nyinyi kwa nyinyi mnapendana,
Tunawajua bhana,
Rudisheni akili nyuma bhana, sote tu [HASHTAG]#WATANZANIA[/HASHTAG].
na bado mtatokwa povu sana nyie wavivuWana akili za kitoto ao wala sio Wa kuwajibu ili wafurahi wanyamaze, Eti MTU anashabikia sijui kaskazini kitu ambacho hakiina hata maana.
povuuuuKichwa kimejaa mbege hike.
wivu umemjaa huyuSasa unabishaa!!
mpe vidongeSasa hapo kuna knferiority complex gani..,?? Sijaongelea kusini, wewe umetolea wapi..,?? Kati yangu mimi na wewe nani ana-inferiority complex..
FYI, Mikoa ya Kaskazini itaendelea ku-run hii nchi
hwz ishi poriniTutampa Chato. Acha ujuaji
Acha kufananisha ulaya na ujinga weweMoshi na Arusha ni Ulaya ya Tanzania..
Arusha wazungu wamejaa kila kona....ma-estate ya kufa mtu wanamiliki....Dolly Estate, Momela Ranch Estate, Mawala Estate, Gomba Estate, Peponi Estate, Arusha West Lands Estates
povuuuAcha kufananisha ulaya na ujinga wewe
huku akisema hiiiiiKwa lugha aliyotumia hapati kitu labda amdanganye na ka kiwanda
Duh so??we endelea na nyumba ntobu yako hapo kemakorere,kaskazn iliendelea zamani mno mkuu
nenda kule uchagani nyumba ya kulala kuku INA tyles
Tulieni vijana tunaowatambua, hatupati tabu sanapovuuuu
nyie si mlikataa shule mkachunga mbuzi muraa?
nyumba ya kulala mbuzi Kilimanjaro ni nzuri kuliko yako unayolalaTulieni vijana tunaowatambua, hatupati tabu sana
nyinyi ni madebe matupu mangi
teh teh