Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,369
- 33,015
Ha ha ha, aisee sasa mbona inaonekana unapenda sana ushoga, kulikoni?
Sio kwa kujipendekeza huku. Kaskazini siyo Tanzania
Ha ha ha, aisee sasa mbona inaonekana unapenda sana ushoga, kulikoni?
Ok basi, ni Somalia. Umeridhika?Sio kwa kujipendekeza huku. Kaskazini siyo Tanzania
Unapenda sana kuridhishwa? Kaskazini siyo Tanzania.Ok basi, ni Somalia. Umeridhika?
Endelea kuweweseka, sina tatizo na hilo.Unapenda sana kuridhishwa? Kaskazini siyo Tanzania.
Mpeni Obama plot ChatoEndelea kuweweseka, sina tatizo na hilo.
Kaskazini ni Mtwara na Lindi.Hata jiografia ya nchi yako huifahamu. Kaskazini ni wapi?
Kule hata ustaarabu wa kunya kwenye vyoo bado haujaeleweka sasa utamuinspire vipi Obama? Mpaka waache kunya ziwani kwanza.Mpeni Obama plot Chato
Kule hata ustaarabu wa kunya kwenye vyoo bado haujaeleweka sasa utamuinspire vipi Obama? Mpaka waache kunya ziwani kwanza.Mpeni Obama plot Chato
Hapo umepatia sana. Makofi na vigelegele!Kaskazini ni Mtwara na Lindi.
Ha ha ha, akili zako zimeoza kamanda.Mpeni Obama plot Chato
Wana akili za kitoto ao wala sio Wa kuwajibu ili wafurahi wanyamaze, Eti MTU anashabikia sijui kaskazini kitu ambacho hakiina hata maana.kwanini mnadhani kanda ya kaskazini ni special Sana?
mnadhani mnaweza fanya nini mkiachwa peke yen?
kwanini mnajishitukia?
si ajabu karibu kila nyumba ya mchaga kuna Licha,
msitudanganye kwamba nyinyi kwa nyinyi mnapendana,
Tunawajua bhana,
Rudisheni akili nyuma bhana, sote tu [HASHTAG]#WATANZANIA[/HASHTAG].
Unajua hawezi kwenda kuishi huko porini siyo? Kama zangu zimeoza ubongo wako ni pooh kabisa.Ha ha ha, akili zako zimeoza kamanda.
Yap....Manyire kule karibu anakoishi mama yake Nyalandu...kumetulia sana ukizingatia Barabara ya Esta Africa inakatiza katikati ya EstateGomba estate siku hizi ni makazi ya watu, ilishapimwa na kugawanywa kuwa makazi ya watu mkuu
mkuu huwezi amini yale mashamba sasa yamejengwa nyumba za kisasa kabisa.Yap....Manyire kule karibu anakoishi mama yake Nyalandu...kumetulia sana ukizingatia Barabara ya Esta Africa inakatiza katikati ya Estate
Na kule plot huwezi afford kwa mtanzania wa kawaida.....mkuu huwezi amini yale mashamba sasa yamejengwa nyumba za kisasa kabisa.
kuzuri sana mkuu
sureNa kule plot huwezi afford kwa mtanzania wa kawaida.....
Na mji unapanukia kule...hakuna msongamano