Obama in Cuba Photos

Obama in Cuba Photos

natamani sana siku moja nilale kitanda kimoja na huyo binti yake Sasha tukiwa uchi kama tulivyo zaliwa

eeeh mungu izinisha tu atakama nitakukosea
Ha ha yani katjka yooote ya kumuomba MUNGU umeona la muhimu kwako ni kulala kitanda kimoja na mtoto wa Obama ukiwa uchi bila kumshololo?

Aisee mwanaFa aliwahi kushauri kuwa kuna mengi ya kumuomba Mungu zaidi ya kuomba utajiri na jili la kulala uchi!
 
Hivi hao watoto wa obama wanasoma kwenye ndege ua? Maana anazunguka nao tu kila kona dunia hii anapoenda
Hao watoto wapo kwenye likizo ya Spring!. Kawaida huyu jamaa huwa hawachomoi darasani watoto wake katika safari zake nje ya nchi. Ni pale tu wanapokuwa likizo, basi!.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Ha ha yani katjka yooote ya kumuomba MUNGU umeona la muhimu kwako ni kulala kitanda kimoja na mtoto wa Obama ukiwa uchi bila kumshololo?

Aisee mwanaFa aliwahi kushauri kuwa kuna mengi ya kumuomba Mungu zaidi ya kuomba utajiri na jili la kulala uchi!
kumshololo ndo nini???
mwana fa ndo nani labda???
tupo sawa katika tumwombayo mungu???
 
Safi safi safi!!!

mbona haya magari ni ya miaka ya 70? hawana magari mapya?
Ni ya miaka ya 50, lakini yanakwenda maana ni wajanja sana kwa kuyakarabati, fedha yao yote wanapeleka kwenye afya, elimu na jeshi, lakini ujue kuwa wamarekani waliwabana sana hata wahakuweza kufurukuta.
 
Soon tutasikia Cuba nayo ipo NATO.Then hapo Russia ndo atakuwa amebanwa mbavu hadi pumzi kumuishia
naona ndiyo wanaelekea huko huko, wanataka kumbana urusi na venezuela, hao huwa hawafanyi bure bila maslahi.
 
Mmmmh ilA wabongo tumezid kwa kweli....khaaaa mpk kero

Umeona eeh?

Umaskini unapochanganyika na ujinga na upumbavu unapata ujuha!

Watu hadi barabara eti tulideki kisa tu Obama anakuja na kukaa masaa machache.
 
Obama nae fala kweli asee yaan mke yupo anahangaika na mwamvuli si bora angemuacha zake Florida ale vumbi asifike kisiwani

Hii mitoto imedekezwa sana kila siku kiguu na njia... Angani kila aendako mshua wao.. Km ni mimi nawachafua vibao Hatar
Tatizo hukumuona Clinton alivyokuwa akienda ziara na mwanae Chelsea ziara zingine hata mama yake alikuwa haendi lakini mtoto yupo hata ule mwaka 2000 alikuja Arusha Chelsea alikuwepo
 
Mwenyewe NAMBA za simu za watoto Wa Obama anipe hivi yule jamaa Wa Kenya alipotelea wapi?
Unataka kutongoza kibongobongo pole hao bado wanasoma na hawajatimiza 18 yrs hivyo wanaendelea kuwa chini ya uangalizi wa wazazi wao
 
Wataachaje kufurahi mbele ya USA?

Hukuwaona wala vumbi walivyokimbizana utadhani mifugo waliofunguliwa toka zizini siku Obama alipotembelea TZ?

Sasa, kwa kawaida mimi huwa situngi mambo [maana wala vumbi wenye hasira wasije wakadai nimezusha bure].

Jionee mwenyewe kwenye hii video.



USA baby View attachment 331653View attachment 331654View attachment 331655.




Lakini Obama hakututendea haki bwana, kusubiri masaa halafu kutupita speed hivyo hata tusipate a glimpse of him, ndo nini sasa!
 
Obama nae fala kweli asee yaan mke yupo anahangaika na mwamvuli si bora angemuacha zake Florida ale vumbi asifike kisiwani

Hii mitoto imedekezwa sana kila siku kiguu na njia... Angani kila aendako mshua wao.. Km ni mimi nawachafua vibao Hatar
Vitoto vitakua viliwahi shikana mikono na m.kwele hivyo vikaambukizwa
 
Hahah!, umesha nifanya Jeb!

Ngoja niende kozi ya komputa nikasomee kuweka vijidude vya usa baby nisiwe low energy! 🙂
Umemsikia leo Trump?. Keshampa jina mama Hillary Clinton, low efficiency!.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Jk alienda na mwanaye australia wabongo walikuja juu ooh ameenda kama nani,,,,


Obama anatembea na vibint vyake wanapongeza...


Akili za kiloloni, ama sijui za nyumbu
 
Back
Top Bottom