Obama in Cuba Photos

Obama in Cuba Photos

Ila Rais awaruhusu wa Cuba Internet ianze ku acses.. Kwa Sasa maisha bila Internet ni MAGUMU sana
 
Katika waafrika wenye bahati basi obama ndio namba moja.
 
Hivi hao watoto wa Obama hawana kazi ya kufanya?

Kila baba anakoenda na wao wapo!
Wanajifunza Urais, siyo huku kwetu mnamkurupusha mtu mnampa urais. Badala ya kuja na dira, anawapumbaza na vibwagizo. Ndio maana Bush alikuwa Rais, mtoto Rais na sasa mdogo mtu anausaka urais.
 
Wanajifunza Urais, siyo huku kwetu mnamkurupusha mtu mnampa urais. Badala ya kuja na dira, anawapumbaza na vibwagizo. Ndio maana Bush alikuwa Rais, mtoto Rais na sasa mdogo mtu anausaka urais.
Kwahiyo tutarajie rizmoja kuwa Rais muda sio mrefu
 
327009A500000578-3503591-image-a-9_1458605212609.jpg

First Lady Michelle wore an eye-watering pair of patent black stilettos with her v-neck floral summer dress and bright red earrings, while President Barack Obama and President Raul Castro opted for simple dark suits, white shirts and ties in different shades of blue

32700F7B00000578-3503591-image-a-19_1458605356187.jpg


The President and First Lady are seen arriving at the Palace Of The Revolution in Havana to greet President Castro on Monday night

32700E4400000578-3503591-image-a-20_1458605393234.jpg


Michelle, who towered over President Castro, appeared to entertain the crowd as she spoke after greeting them

327008CD00000578-3503591-image-a-25_1458606204597.jpg


Obama and first lady Michelle Obama were joined at the dinner by senior White House staff and several members of Congress
Huyu Rais Raul hana mke?
 
Hivi hao watoto wa Obama hawana kazi ya kufanya?

Kila baba anakoenda na wao wapo!
Wanajifunza Urais, siyo huku kwetu mnamkurupusha mtu mnampa urais. Badala ya kuja na dira, anawapumbaza na vibwagizo. Ndio maana Bush alikuwa Rais, mtoto Rais na sasa mdogo mtu anausaka urais.
Kwahiyo tutarajie rizmoja kuwa Rais muda sio mrefu
hata ukiwa muda mrefu anaweza kuwa rais
 
Wanajifunza Urais, siyo huku kwetu mnamkurupusha mtu mnampa urais. Badala ya kuja na dira, anawapumbaza na vibwagizo. Ndio maana Bush alikuwa Rais, mtoto Rais na sasa mdogo mtu anausaka urais.

hata ukiwa muda mrefu anaweza kuwa rais
Sidhani, atasubiri sana
 
Unafeel connection tu na huyo mtanzania ambae baba yake alihamia kenya baada ya kutoka pale tarime
Mbona wa afrk tunapenda kujpendekeza hivi yaan hadi kero! Huyo obm hta akiwa wa msoga hwzi kukujua ww!?
 
Mbona wa afrk tunapenda kujpendekeza hivi yaan hadi kero! Huyo obm hta akiwa wa msoga hwzi kukujua ww!?
acha ushamba wewe!hapa watu wanapiga gumzo tu,umekaa ukaona hapa ndiyo pakutokea,kila kiti unachukulia viiiileeee,karibu mjini
 
Safi safi safi!!!

mbona haya magari ni ya miaka ya 70? hawana magari mapya?
Achana na hiyo gari mkuu inaitwa Cadillac pesa yake ukipewa unaweza ukatanua mpaka uchoka na bado ipo
3267203500000578-3501651-image-a-20_1458510540484.jpg
Cuban and American flags were flown from the president's car as it left the airport in the direction of Havana's Old Town, where he will be given a tour this evening

3266DC6B00000578-3501651-image-a-7_1458509173350.jpg

Obama waves after his arrival on Jose Marti Airport in Havana before being driven into the city for a tour of its Old Town district

3266D27700000578-3501651-image-a-76_1458507853588.jpg

The weather is said to have taken a turn for the worse just moments before the President landed
 
Back
Top Bottom