Acha ushamba wewe,red carpet sio hadi litandazwe chini....Kheee! Mbona sijaona red carpet?
Mi najiuliza ikiwa Trump akawa POTUS, blacks wataendelea kuonekana ikulu kama staff? Maana saivi ni kawaida kukuta Obama kazungukwa na njemba kama sita hivi zote nyeusi tiiii
Ish....
Mimi ndio nataka kuvipiga wewe unaniletea habari za vibinti tena?
Anyways.... Insha'Allah kheyr.

Hao jamaa kaka ni hatari,wana mafunzo ya kukwepa matone ya mvua,haha!Hivi hao security wa jamaa mvua haiwanyeshei ??? Ila majibu yasiwe tu jamaa ni makomando wa kutisha kwamba mvua hazipiti kwenye miili yao
Napenda sana picha za family ya Obama, hata sijui kwanini.
Labda ni vile vivazi vyao matata,na wanajua kuvaa kwelikweli.
Mkuu kwenye historic trips na wao wanataka kuingia kwenye rekodi, lakini usisahau pia huu ndio mwaka wao wa mwisho Banda Jeupe,Itabaki History. Shule?http://www.sidwell.edu/calendars/de...LinkID=64106&ModuleID=374&StartDate=3/18/2016Hivi hao watoto wa Obama hawana kazi ya kufanya?
Kila baba anakoenda na wao wapo!
Mimi nataka kuoa kwao!Hivi hao watoto wa Obama hawana kazi ya kufanya?
Kila baba anakoenda na wao wapo!
Aaah!! Pochi inasoma!mkuu umeniwahi sijui hawa watoto hawasomi?
Familia yao inaupendo! Sa sijui kisa pesa au ndo kweli!Napenda sana picha za family ya Obama, hata sijui kwanini.
Labda ni vile vivazi vyao matata,na wanajua kuvaa kwelikweli.
Aaaah!! Avtr ynywe ya Ku edit! Sura ngumu kama k ya mzee!jitahidi uzae vibinti vizuri kama hivyo uwe unavipiga mavazi kama hayo
kaka kipindi kile wamekuja hapa kwetu. nasikia walikuwa na mwl wao ktk msafara ule.hakuna kinachowapita kwa upande huo zaidi uya kuongeza maarifaHivi hao watoto wa Obama hawana kazi ya kufanya?
Kila baba anakoenda na wao wapo!
Amezoea maisha ya kucrm kma ilivyo elm yake!!Acha ushamba wewe,red carpet sio hadi litandazwe chini....
Red carpet lipo kwenye hizo ngazi za ndege.
Kwani wewe umezalishwa?! Mbona mnapenda kijidharau kha! Mpaka mnaboa!!Familia bora duniani;
mwanamke mwenzetu ndo kaolewa.