BIN BOR
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,013
- 407
Hakuna shaka Obama (kulia) ni mjaluo wa Kisumu na alikwenda kijijini Kogelo kutangaza nia ya kugombea urais na kupata baraka zote za wazee. Na alipopata urais watu wa kijijini kwake walifanya bonge la pati kwa kuchinja ng'ombe 4. Sasa mbona harudi kusema asante? Au anasubiri uchaguzi ukaribie?
Jinsi jamii yake ilivyosherehekea Kenyan village awaits Obama's historic inauguration_English_Xinhua