At least boma umenisaidia maana hapa JF jamaa walishaanza kunishambulia ati ooo arudi kufanya nini, mara ati ana ratiba ngumu....mbona wachaga kila mwaka wanasahau ratiba ngumu na wanakwenda kwao kuhesabiwa? Obama alipata hadi dua za wazee kule Wajir, akavalishwa mishuka akafanana kama msomali ndio maana akaukwaa urais....ni lazima aje aseme wazee taire.....
Kwa hiyo urais ameupata kwa dua za kabila lao na siyo kuwa kipenzi cha wamarekani siyo? Nina wasiwasi na hii ya dua! Imekaa ki-sheikh yahya zaidi. Nafikiri mimi kura alipigiwa na wamarekani kwa kumpenda tu pamoja na kampeni strong.