Elections 2010 Obama Congratulates Tanzanian People, Shein but skip congratulating JK

Kichuguu.. umeweka tofauti ya pongezi kwa mtu aliyeshinda katika uchaguzi huru, na pongezi kwa wananchi walioshiriki katika uchaguzi. Hakuna ubishi wala kuspin maneno - Obama hakutoa pongezi kwa Rais Kikwete kwa ushindi wake bali ametoa pongezi kwa Wananchi wa Tanzania kufanya uchaguzi katika spirit ya vyama vingi.

Na hakuna shaka amempongeza Shein kwa ushindi wake. Zanzibar hakukuwa na matatizo ya Bara safari hii kwa hiyo hakukuwa na hakuna tatizo la legitimacy ya mshindi. Kwenye Muungano hilo lipo na kwa kadiri ya kwamba Dr. Slaa bado hajaridhika na mwelekeo wa uchaguzi ulivyofanywa na Tume, Rais Kikwete hawezi kuenjoy the same level of legitimacy aliyokuwa nayo baada ya kushinda kwa asilimia 80.

Wamarekani katika serikali yao wanajua sana maana ya lugha ya kidiplomasia.
 
That is not a statement from President Obama.
In fact, the lack of ANY signature leads me to believe it's a completely fraudulent document.

No; it is an exact replica of the official statement released by the White house.
kumbe hata wamarekani wanachakachua?
Hapana, hiyo ni barua ya kidplomasia, siyo kwamba imechakuchuliwa kutoka hapo Dar, bali ni statement halisi iliyotoka white house
 
And of what significance is his recognition of our president or election? We are a free country. We will work with those who are inline with our principles, and only those.

Sina shaka kabisa kabisa imekuuma! Lakini vyandurua mtapewa! Yaani that is why nawapenda sana wamarekani kwenye mambo ya demokrasia
 
That is not a statement from President Obama.
In fact, the lack of ANY signature leads me to believe it's a completely fraudulent document.


No body said it was written by Obama but it is from the American people and their embassador to Tanzania has the right to send greetings on their behalf. But we also know it is a copy and paste of the Ikulu press release
 
Invisible uko sahihi kabisa. Yaani ni bora liende. Kawapongeza watu wa Tanzania, Shein na kukubali kufanya kazi na Kikwete. Hii ni sawa na watanzania wote tulivyokubali. Yaani hata mimi ningekuwa Obama ningeandika hivyo. Kwanza salaam zimechelewa na pili ni pongezi kwa watanzania. Hii safi sana


Kwa Zanzibar kampa heko Seif Hamad nafikiri kwa kukubali kuleta Amani Zanzibar. No mention of the second vice president

Haswa, nadhani hicho ndicho kweli kilichotokea; wameamua kuwa watafanya kazi naye ingawa wanajua kuwa Kikwete huyu ni chakachua, na watanzania tumekuwa waumilizu kunyamazia hilo, kwa hiyo tunapongezwa. Marekani walikaa na kufakari kwa makini kuhusu uchaguzi wetu huo na matokeo yake ndiyo maana iliwachukua muda mrefu sana kutoa statement wakati yule wa mama Brazili alipongezwa siku hiyo hiyo matokeo yalipotangazwa.

Labda Kikwete alimwuliza balozi kwa nini hawajampongeza ndipo Balozi akaamua kuwasiliana na White House ili kupata statement nzuri ya kutoa..... it is possible in Tanzania.
 
Aliposema "i also extend" alikua ana maanisha nini?


1) I congratulate the people of the United Republic of Tanzania on your recent national election and your continued commitment to a tradition of multiparty contests begun in 1992

2) I look forward to working with President Jakaya Kikwete....

3) I extend...

I extend...ni mwendelezo tu wa pongezi kwa watanzania. Kama unataka tuamini amempongeza JK...tupe phrase moja tu inayoelekea kumpongeza huyo ndugu yako
 
This time Mkwere atakuwa anatembea kichwa chini maana dunia nzima inajua alikwiba kura yeye na chama chake. Ni aibu sana kwa mtu anayependa kusafirisafiri labla this time aamue kukaa Tanzania, jambo ambalo ki afya halimruhusu
 
Read btn the lines kijana amewapongeza watanzania sio JK and is looking forward kufanya kazi na Jk
 
Naomba tujadili na kuangalia kipengele cha mwisho
As I said to President Kikwete when we met at the White House in 2009, the people of the United States support all Tanzanians in your efforts to institutionalize democratic, transparent governance, to realize the full potential of your Union, and to ensure that the steps you have taken together toward a lasting peace and prosperity cannot be reversed.
Huu ni direct ujumbe kwa Kikwete personally na ningekuwa yeye I would be worried maana hii ni warning ...
Hebu tutafakari...
 
Susuviri.. asante kwa angalizo la aya hizo za mwisho; ni ukweli kwamba kuna siri imefichika katika "All".. ana maanisha nini?
 
Naomba tujadili na kuangalia kipengele cha mwisho
As I said to President Kikwete when we met at the White House in 2009, the people of the United States support all Tanzanians in your efforts to institutionalize democratic, transparent governance, to realize the full potential of your Union, and to ensure that the steps you have taken together toward a lasting peace and prosperity cannot be reversed.
Huu ni direct ujumbe kwa Kikwete personally na ningekuwa yeye I would be worried maana hii ni warning ...
Hebu tutafakari...

Nimepotea anamanisha nini? Ni kama jamaa alipigia debe chama Chakachua Matokeo (CCM) lakini Obama akamwambia wapinzani pia ni sehemu ya demokrasia niitakayo?
 
kumbe hata wamarekani wanachakachua?
Kweli wewe raia fulani kama huchekeshi basi hamnazo.....america hamna kuchakachua na ukitokea huwezi fananisha na uchakachuaji wa bongo..usifananishe kifo na usingizi mjomba huitaji PHD Kuyatafakari na kuyaelewa haya yanayojiri..Hapo chini imeandikwa kutoka ubalozi wa marekani kwa niaba ya obama kuwapongeza watanzania pamoja na wa zanzibara including shein na seif na haja sema anampongeza kikwete bali kasema anategemea kufanya kazi na kikwete kwa maslahi ya raia wa nchi hizi mbili, ikumbukwe kuwa united state of america will be USA and united republic of Tanzania will remain TZ..Unajua naona watu wengi hawaelewa au hawafatilii taarifa, takwimu tabia na mazingira ya sehemu moja na nyingine...mnaeleweshwa lakini bado mnakuwa vichwa ngumu na nyie wallah ndo wale mnaoamini kuwa nyerere bado yuko madarakani au balali kafa...OMG..Kama mmeshindwa kumuelewa bwana "KICHUGUU" Hapo juu labda mumuombe awa tafsirie kwa kiswahili ndo mtaelewa kuwa obama ameona hana haja ya ku call washenzi ndo maana akamwambia balozi wake awapongeze mafala kwa kuendelea kuwa mafala na anategemea kufanya kazi na uyo **** akijaribu kufuta lawama tena kwa ufanisi na utaalamu wa hali ya juu kwani hata wa america wakimuuliza kwanini umempongeza fisadi atajibu hajampongeza fisadi bali kawapongeza wafisadiwa, na JK akimuuliza mbona hujanitumia salamu za pongezi atamjibu ohh nimewapongeza watanzania wote na wewe nimekufagilia kuwa nategemea kufanya kazi na wewe kwa karibu kabisa....kama jk aliulizwa mpango wake na serekali yake kwa mwaka 2010-2015 akasema eti kujenga hospitali ya moyo Ppfuuuuuuuuuuuuuu akaulizwa kwanini tanzania ni maskini akajibu hajui watanzania wanamatatizo gani...kweli huyo ni rais bora au bora rais...? ndo maana nyerere alimkataa akijua ajakuwa ila kumbe hata na kukua na kukomaa kote bado hajijui haya kwa nyie mnaoamini balali kafa au nyerere bado yuko madarakani mtakuaje...? wacha nihame nchii nipunguzee idadi ya wapumbavu 40million ndo maana mwalimu jk original alisema ni bora uwaelimishe wasomi billion mia moja watakuelewa kirahisi japo wengi kuliko kuwaelimisha wapumbavu aka mazuzu elfu moja tuu watakusumbua japo wachache...Dr..slaa alisema atatoa elimu bure, garama nafuu za maisha hamkumuamini akawapa nafasi ya kumuuliza maswali atawezaje akawaelewesha lakini bado hamkumuani na mkamtosa wakati hana shida yeyote bali alikuwa na uchungu na nchi na wananchi wa tanzania kama unabisha angalia CV yake yeye hajarisishwa au kupewa udocta kaupata kihalali aibu gani mmemtosa huku mkijifanya mnauchungu kwa kushindwa kwake na ilhali mnajua kashindwa kimizengwe...haikutakiwa Dr slaa aseme eti andamaneni au shikeni bunduki au gomeni....noooo nyie wenyewe mnao ona mmeibiwa au kudhulumiwa aka kuchakachuliwa mgechukua action wenyewe..nimepita safarini nikitokea moshi, arusha, manyara, singida, tabora leo shinyanga na kesho mwanza nyumba zote vijijini utazani analala ndege lakini imebandikwa picha ya kikwete na bonge la tabasamu juu bendere ya ccm nyongo ilitaka kupasuka ila nikamuuliza jamaa mmoja mwenyeji mbona mna shida ivo na bado mmechagua ccm...?tena mahali pabaya zaidi ni kwenye jimbo la mheshimiwa sita na jimbo la jirani yeke...kumbe watu hawawapigii upinzani kwa sababu wameambiwa itatokea vita kama wakiwapa upinzani..na hawata pata tena maindi ya misaada kama watawapigia upinzani...unadhani ni nini kifanyike kunusuru hilo au kuwaelimisha hawa mazuzu wengi wanaowatesa wajanja wachache..? mmeona ccm ilivojiwekea mitaji vijijini kwa ajili ya maindi ya msaada...? kwa nini obama hajampigia simu wala kumpongeza yeye kama yeye na badala yake katumia c/o...? kwani unadhani yeye obama hajui watu waliojiandikisha kupiga kura ni 19million na waliopiga kura ni than 20million...? :A S angry:


 
<p>
Susuviri.. asante kwa angalizo la aya hizo za mwisho; ni ukweli kwamba kuna siri imefichika katika &quot;All&quot;.. ana maanisha nini?
</p>
<p>&nbsp;</p>
Ni kweli Mwanakijiji mkuu! Neno ALL ina maana upinzani pia bali pia maneno 'not to reverse' ni warning akimkumbusha Jk kuwa aliwahi kumpa hii warning.. so in the eyes of the US, there has been an attempt to reverse democracy so Jk anahitaji akumbushwe...
Statement ni fupi lkn ujumbe ni mzito sana. Ole wao CCM na JK wakipuuza na kuifanyia mzaha. Mark my words...
 
Susuviri.. asante kwa angalizo la aya hizo za mwisho; ni ukweli kwamba kuna siri imefichika katika "All".. ana maanisha nini?

Mkjj propaganda za kina T Hiza na Kinana za kuwagawa watanzania kwa misingi ya dini zao ili kukipa chama chao advantage zimeacha ufa mkubwa sana. Hasa ukizingatia kuwa wakati CUF ilipokuwa na nguvu hawa jamaa waliwaita siasa kali, magaidi na majina yote ambayo wakati ule waliweza kuwashawishi kina Bush kuitenga CUF kwa misingi hiyo. Ila kurudiwa kwa strategy hiyo kwa kukihusisha CHADEMA na kanisa imeonekana wazi kabisa kuwa CCM inagawa watanzania kwa misingi ya dini, makabila n.k ili iendelee kupeta. Sasa wamarekani wao wameliona hilo na kusema ni watanzania wote bila kujali vyama vyao, makabila yao wala dini zao.

Ufa wa kwanza unaotakiwa kuzibwa na CCM ni kuwafukuza wale wote waliotumia propaganda hiyo ya kugawa wananchi kabla ya kupitisha sheria kali kwa yeyote atakaye zungumza jukwaani kuwa chama fulani kinatumia udini au kina agenda ya kumwaga damu. Huu ni uchochezi regardless nani kautoa.
 
mnaeleweshwa lakini bado mnakuwa vichwa ngumu na nyie wallah ndo wale mnaoamini kuwa nyerere bado yuko madarakani au balali kafa...

kwa nyie mnaoamini balali kafa au nyerere bado yuko madarakani mtakuaje...

Mheshimiwa kwa hiyo Balali bado anadunda...data na source!
 
Naomba tujadili na kuangalia kipengele cha mwisho
As I said to President Kikwete when we met at the White House in 2009, the people of the United States support all Tanzanians in your efforts to institutionalize democratic, transparent governance, to realize the full potential of your Union, and to ensure that the steps you have taken together toward a lasting peace and prosperity cannot be reversed.
Huu ni direct ujumbe kwa Kikwete personally na ningekuwa yeye I would be worried maana hii ni warning ...
Hebu tutafakari...

His level of thinking haiwezi kufika huko,
Tuna kazi kubwa sana ya kufanya, Its a real shame when hata mataifa ya nje wanatambua hiki kinachoendelea,
Hivi kweli we would look in the eyes of people from other nations and tell them we are proud to be Tanzanians wakati viongozi wetu wanatuangusha hivi?? And tunasema tuna representatives, dah; we have a lot of work to do:mad2:
 
PHP:
Kichuguu.. umeweka tofauti ya pongezi kwa mtu aliyeshinda katika uchaguzi huru, na pongezi kwa wananchi walioshiriki katika uchaguzi. Hakuna ubishi wala kuspin maneno - Obama hakutoa pongezi kwa Rais Kikwete kwa ushindi wake bali ametoa pongezi kwa Wananchi wa Tanzania kufanya uchaguzi katika spirit ya vyama vingi.

Na hakuna shaka amempongeza Shein kwa ushindi wake. Zanzibar hakukuwa na matatizo ya Bara safari hii kwa hiyo hakukuwa na hakuna tatizo la legitimacy ya mshindi. Kwenye Muungano hilo lipo na kwa kadiri ya kwamba Dr. Slaa bado hajaridhika na mwelekeo wa uchaguzi uliupo kwa uhavyofanywa na Tume, Rais Kikwete hawezi kuenjoy the same level of legitimacy aliyokuwa nayo baada ya kushinda kwa asilimia 80.

Wamarekani katika serikali yao wanajua sana maana ya lugha ya kidiplomasia.

Wakuu naona ni bora mfikiri ni jinsigani yakujikwamua na umaskini na kusubiri 2015 kuliko kujadili upupu marekani siasa yake haingalii nani yupo na yupo kwa uhalali wa wenye nchi au kwakuhozi madaraka. marekani haina rafiki wakudumu marekani ina maslahi yakudum kwahiyo yoyote atakae kuwa madarakani bila kujali uhalalali kiuongozi je analinda maslahi ya marekani basi huyo hatakuwa na matatizo na marekani lakini ikiwa kachaguliwa kihalali na wenye inch lakini halindi maslahi ya marekani basi huyo atakuwa sikiongozi kwao. (maerkani haina rafiki wakudum ina maslahi ya kudum)
 
Back
Top Bottom