it was politically very calling na nilitazama jinsi Wamarekani walivyofurahia kitendo cha Obama na Mitchell kula mate live.
Wakati mwingine huwa ni vigumu kwa watu wa uswahilini kama sie kuelewa akili za Wamarekani!!
Babu DC habari za siku tele?....hebu weka details basi kuhusiana na hii kauli yako.
Salama sana kaka BAK.....Mzima wewe?
Unajua sie watu wa huku uswahilini huwa tunaaamini kwamba Wamarekani ni super human beings...Labda ndo maana kila kitu chao tunakihusudu kupita maelezo. Ila mara nyingine kuna vitu vidogo vidogo au vya vya kijinga ambavyo wanaweza kuvipa coverage na attention kiasi kwamba wanatufanya sie tuliojiamisha kuwa ni watu special kujikuta katika mkanganyiko.
Sijui kama nimeeleweka mkuu!!