it was politically very calling na nilitazama jinsi Wamarekani walivyofurahia kitendo cha Obama na Mitchell kula mate live.
Nafuu yeye anamchum my wife wake. Jamaa yetu je...
Umekigusa sana kile kibabu kilichokuwa kinataka kwenda ikulu 2010!!
Kishajizolea kura kibao kwa kula denda hadharani . Sasa subiri yule Romney naye atataka amuige 'Bama.
obama anaswa?...
Wanazi wa Hussein Obama bana....yaani kila kitu wanaki politicize. Hata akijamba hadharani mtasema subiri Romney naye ajambe.....shameful.
Busu na kura havina uhusiano wowote.
Huyo Kilaza aliye magogoni ndio zaidi, anastahili kuitwa porn/ngono star.Umekigusa sana kile kibabu kilichokuwa kinataka kwenda ikulu 2010!!