technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,680
- 58,677
Leo tarehe 10 Obama amemuita Trump ikulu ya White house ili kumpa seminar elekezi kabla ya kupewa office mwaka kesho January.
Ataendelea kupewa maelekezo na vielelezo mbali mbali jinsi ya kufanya kazi Mara tu atakapoingia madarakani.
Obama amesikika akisema Karibu Trump Rais mpya wa Marekani nakukaribisha white house kuanzia kesho yaani Leo tarehe 10 ili kuanza kuchukua maelekezo mbali mbali jinsi ya kutawala nchi..
Ataendelea kupewa maelekezo na vielelezo mbali mbali jinsi ya kufanya kazi Mara tu atakapoingia madarakani.
Obama amesikika akisema Karibu Trump Rais mpya wa Marekani nakukaribisha white house kuanzia kesho yaani Leo tarehe 10 ili kuanza kuchukua maelekezo mbali mbali jinsi ya kutawala nchi..