Obama amuita Trump ikulu leo

Obama amuita Trump ikulu leo

Obama amekonda siku mbili tu,anatia huruma sana,alitegemea sana hilary atatoboa,
chama kimepoteza viti kiasi kuwa maamuzi yote yatafanywa na republican,
kweli mkosi kabambe,

Cw1VfPoVQAAEBGh.jpg:small
.



Cw6gxvbUkAAPG17.jpg:small

Mkosi gani?
 
Hiyo ndo USA bana....taifa bora kabisa katika historia ya mwanadamu.
Yaani we jamaa. Hakika wafrika akili zetu sijui zimejaa majipu. Unanichanyaga sana unavyoipaishaga hiyo us tena kwa mikogo kama nakuona vile .
 
democrat wameloose power videadly

American people have spoken and wishes zao ziheshimiwe hata kama dunia haitopenda
Kumchukia koooteee lakini Bush alitawala 2 terms
Uchaguzi umepita na it's time to move on
Uzuri ni kwamba hutosikia "hakuna siasa hadi 2020"
Katiba lazima iheshimiwe
Trump ndio mshindi
Hakuna zengwe wala Jecha
 
Aiseeeee Trump ameogopa kabisa kumwangalia Obama machoni, first sign ya aibu kubwa sana akirudi nyuma na kutafakari yale matusi yote aliyomtukana Obama. Obama is a gentleman full of power and self estim, leave away determination. Huyu jamaa anaonekana ni mkatili sana na ukweli hana amani moyoni mwake. Pia Obama straight hayuko happy kabisa na ni kwa vile tu ni democracy ila hakika anaona anampa nchi katili.
 
Aiseeeee Trump ameogopa kabisa kumwangalia Obama machoni, first sign ya aibu kubwa sana akirudi nyuma na kutafakari yale matusi yote aliyomtukana Obama. Obama is a gentleman full of power and self estim, leave away determination. Huyu jamaa anaonekana ni mkatili sana na ukweli hana amani moyoni mwake. Pia Obama straight hayuko happy kabisa na ni kwa vile tu ni democracy ila hakika anaona anampa nchi katili.
sasa ungeona Trump anavyoongea hapo ndo ungejua kawa mnyenyekevu,yaani ana maanishe zile zilikua kampeni,lakini naona CNN wanazidi kumpiga Trump za mbavu kwa kuirudia ile tape ya Trump akiongelea yule mwanamke,
halafu baada ya kutoka whitehouse Trump kaenda capital hill,hapo alikuwa anatembea kwa kujiamini like he own the place,
means Trump akiapishwa NI KAZI TU,draining the swamp,
 
Wakina mkapa na mwinyi nape Jk wangekataa katakata utafikiri nchi wamekatia ati miliki Viongonzi wa Afrika wasipoenda demokrasia jana ndo walikua wa kwanza kumpongeza tramp
Afrika ingeleta shida Tanzania mpaka wanasema hatuwezi kumwachia nchi mtu Fulani huwezi kujivunia utanzania
That's demecrocy
Wastaarabu hawa jamaa




Domo-klasi in action.
Sikiliza haya kwa makini.
 
Back
Top Bottom