VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Nimemaliza kuangalia debate ya GOP presidential hopefuls on CNN. Kutokana na hali ya uchumi inavyodorora hapa US kwa sasa, na unemployment rate bado iko 9.1%, kwa kusema kweli kama hakuna mabadiliko yoyote ya kiuchumi na kama unemployment itabaki around 9% in the next 12 months, basi mjaluo amekwisha na atakuwa one-term prez.
Najua wengi tunampenda Obama lakini the fact of the matter ni kwamba uchumi unamshinda na anakoelekea sio kuzuri. Kazi ipo.
Najua wengi tunampenda Obama lakini the fact of the matter ni kwamba uchumi unamshinda na anakoelekea sio kuzuri. Kazi ipo.