Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,661
- 68,638
Hata mimi napenda kukumbatia, hebu kuja kipande hii tutoe baridi...
Kakumbatie moto utoe baridi
Hata mimi napenda kukumbatia, hebu kuja kipande hii tutoe baridi...
View attachment 196186
View attachment 196187
Nurse Nina Pham aliekuwa kapata maabukizi ya Ebola baada ya kusibitika Dawa imemsaidia na sasa amepona Ugonjwa huo alipoenda kumtembelea Rais Ikulu.(Sasa kama vipimo vimepepesa macho Obama shauli yako)
Islamic state sio maadui wa marekani.Mhhh!!kwa hapa naweza kuwa tofauti na wewe kwa mara ya kwanza kabisa ingekuwa hivyo wangeupeleka huko kwa wale maadui wao wa Islamic State.
Marekani ndio aliyetengeneza hiyo Islamic State ili apate kumuondowa Bashar Asad amka wewe . Marekani ndio aliyetengeneza Taliban na Alkaida ili apate kumpiga M-Rusi amka wewe huyu Siasa za Kibabae za kimarekani.Marekani ndio aliye mpa Saddam Husein Silaha za Sumu Silaha za Kibailojia ili apambane na Serikali ya Kiislam ya Ki-Iran mika ya 1980. Amka wewe mbona umelala? Mkuu NAPITA
Marekani ndio aliyetengeneza hiyo Islamic State ili apate kumuondowa Bashar Asad amka wewe . Marekani ndio aliyetengeneza Taliban na Alkaida ili apate kumpiga M-Rusi amka wewe huyu Siasa za Kibabae za kimarekani.Marekani ndio aliye mpa Saddam Husein Silaha za Sumu Silaha za Kibailojia ili apambane na Serikali ya Kiislam ya Ki-Iran mika ya 1980. Amka wewe mbona umelala? Mkuu NAPITA
Mkuu MziziMkavu Huyu NAPITA Bado hajaufahamu ulimwengu jinsi ulivyo na hasa Hawa Wamarekani Na wazungu wa ulaya kwa ujumla...!
Tatizo mnatoka kwenye Mada Mada kuu ni Kweli Ebola imetengenezwa na marekani kwa mujibu wa mkuu wa kazi MziziMkavu uko kwingine tukienda kunamapana.
Labda hilo Swali lako Mkuu.@NAPITA atakujibun hivi wanaothibiti Media Duniani Uingereza na Tanzania. Mkuu.@Ntuzu hebu mpe Elimu huyu.NAPITA hajuwi kuwa ulimwengu upo chini ya Amerika?Hatutoki nje ya mada mkuu...! Ebu Nijibu hili swali hapa chini.
Ni nani anaedhibiti MEDIA ulimwenguni?
Labda hilo Swali lako Mkuu.@NAPITA atakujibun hivi wanaothibiti Media Duniani Uingereza na Tanzania. Mkuu.@Ntuzu hebu mpe Elimu huyu.NAPITA hajuwi kuwa ulimwengu upo chini ya Amerika?
Wao Wamarekani ndio waliotengeneza AIDS , EBOLA kam ndio Silaha ya kuwaangamiza Watu Duniani sasa Maradhi waliyotengeneza yanawarudia wao wenyewe kazi wanayo.
Mkuu MziziMkavu Huyu NAPITA Bado hajaufahamu ulimwengu jinsi ulivyo na hasa Hawa Wamarekani Na wazungu wa ulaya kwa ujumla...!
Marekani ndio aliyetengeneza hiyo Islamic State ili apate kumuondowa Bashar Asad amka wewe . Marekani ndio aliyetengeneza Taliban na Alkaida ili apate kumpiga M-Rusi amka wewe huyu Siasa za Kibabae za kimarekani.Marekani ndio aliye mpa Saddam Husein Silaha za Sumu Silaha za Kibailojia ili apambane na Serikali ya Kiislam ya Ki-Iran mika ya 1980. Amka wewe mbona umelala? Mkuu NAPITA
Haiihitaji degree ujue hilo
Tatizo mnatoka kwenye Mada Mada kuu ni Kweli Ebola imetengenezwa na marekani kwa mujibu wa mkuu wa kazi MziziMkavu uko kwingine tukienda kunamapana.
Mkuu hao watoa hoja kushambulia nchi moja kwa lengo la kujiridhisha inashangaza kweli Ebola mara ya kwanza iligunduliwa mwaka 1974 huko Congo Republic kando kando ya mto Ebola ndo ikaitwa vile ukiangalia hata maeneo yanayokumbwa na ugonjwa huu ni yaliyo kwenye dense forest mfano wa Congo, Liberia, Gabon, Cameroun, Equatorial Guinea, Guinea nk. Ingekuwa ni vile kivipi Marekani ikatengene gonjwa katika nchi ambazo ni washirika wake? Basi si wangetengeneza wakaugua wachina, Warusi, Baadhi ya watu nchi za kiarabu ambao ni nemisis wa Marekani? Hoja zingine hazina mashiko