Nyumbani wamemkataa mchumba wangu. sababu: mhaya!

Mkuu unaweza usiwaelewe wazazi, lakini kuna umuhimu wa kuwasikiliza japo ujatupa sababu walizokupa!
kwa harakaharaka sababu zao zinaweza kuwa:
1. Umbali: Ungonini (Songea) na Uayani (Kagera) ni mbali sana hasa mambo ya kijamii yanapokuwainvolved, ukumbuke kuwa lengo la kuoa pia ni kusogeza hizi familia mbili (ya mwanaume na mwanamke) karibu na kujenga undugu na urafiki. endapo familia hizi zitashindwa kutambuana na kujenga ukaribu hapa kuna tatizo. mfn tatizo linapotoke au mtu anapojisikia kutembela upande mwingine, basi atatumia gharama nyingi au atashindwa kabisa! hili ni tatizo na unapaswa kuliona! ukumbuke kuwa hatujafikia ule ustaarabu wa familia kujengwa na baba, mama na watoto pekee!
2. Utamaduni: japo watu wengi wanalipuuza hili, lakini lina maana kubwa sana! unapokuwa na mtu ambaye mnashare naye cultural elements kuna faida zake, mfn hakuna atakayeshangaa mambo fulanifulani yanapotokea/fanyika, na kila mtu anakuwa huru! hapa TZ kuna baadhi ya makabila Mama/Baba Mkwe kulala ukweni ni jambo la haibu sana, lakini wengine ata akikaa mwaka mzima ni rahaa mustarehe! so unapaswa kuyachunguza na kuyajua haya yote na madhara yake!
3. Lugha: japo hii ni sehemu ya utamaduni lakini ina umuhimu sana katika mahusiano! mnapokuwa mnaongea lugha tofauti inakuwa shida sana unapokuwa na mpenzi wako alaf unakutana na watu wa kwenu na kulazimika kuongea kilugha chako! wengi wamejikuta wakiingia katika mgogoro wakidhani kuwa wenzi wao wanawateta, huku wakikosa amani na uhuru!

kuna mengi..wengine wataongezea! waliokaidi sauti za wazazi wengi (japo si wote) wanajuta na kubakia na "NINGE..."

NB: Mngoni na Mhaya (wengi wao) wanaendana kwa sababu wote wana ile sifa ya kupenda kutathmini maumbo...wanapenda kuchungulia/kuchunguliwa kule walikotoka!

Wadau
nipeni ushauri nipo njia panda. ni kweli sababu waliyonipa kuwa wahaya wana tabia mbaya?

mi ni mngoni, nishauri!!
 
duh karateka pole sana wa kunyumba! Hata baba yangu alitaka kumkatalia dada yangu alipoleta mchumba jina lake lilifanania sana na wahaya lkn yeye ni muha wa kigoma, cha kushangaza aliwahi mwambia hata kaka yetu mkubwa kwamba hataki aoe mwanamke wa kihaya. Hapohapo dingi mdogo mkewe ni mhaya, mtoto wake wa mwisho wa kike aliishi sana bukoba mpaka alipomaliza std seven so ana lafudhi ya kihaya kabsaa shule hajamaliza kufukuzana na suruali tu sinza. Baba aliwahi fanya kazi karagwe labda alikuwa na sababu zake sijajua. Mimi nawafahamu wasichana wa kihaya wengi tu tena wako very decent na wamekuwa wake wazuri tu. Hii generation yetu kabila wala si sababu, sababu kubwa ni malezi mtu aliyoyapata toka kwa wazazi, pili uchumi au kipato tatu ndoto na tamaa ya kuwa na mafanikio bila kuwa na kipato cha kutosha, so kuepukana na yote hayo kijana piga shule ukipata kazi jikusanye atleast 5 yrs ndio uoe ukiwa umejiandaa kutunza mke! Pole sana wakunyumba
za magono wa kunyumba.
mimi pia mngoni na kuna kaka yangu kaoa mhaya, yaani tunampenda yule wifi kupita maelezo, ana tabia nzuri sana....... kabila siyo tatizo kabisa kama alivyosema kaka yangu hapa, angalia tabia zake tu na uwe na sababu nzuri ya ku-convince wazazi
 
Mkuu unaweza usiwaelewe wazazi, lakini kuna umuhimu wa kuwasikiliza japo ujatupa sababu walizokupa!
kwa harakaharaka sababu zao zinaweza kuwa:
1. Umbali: Ungonini (Songea) na Uayani (Kagera) ni mbali sana hasa mambo ya kijamii yanapokuwainvolved, ukumbuke kuwa lengo la kuoa pia ni kusogeza hizi familia mbili (ya mwanaume na mwanamke) karibu na kujenga undugu na urafiki. endapo familia hizi zitashindwa kutambuana na kujenga ukaribu hapa kuna tatizo. mfn tatizo linapotoke au mtu anapojisikia kutembela upande mwingine, basi atatumia gharama nyingi au atashindwa kabisa! hili ni tatizo na unapaswa kuliona! ukumbuke kuwa hatujafikia ule ustaarabu wa familia kujengwa na baba, mama na watoto pekee!
2. Utamaduni: japo watu wengi wanalipuuza hili, lakini lina maana kubwa sana! unapokuwa na mtu ambaye mnashare naye cultural elements kuna faida zake, mfn hakuna atakayeshangaa mambo fulanifulani yanapotokea/fanyika, na kila mtu anakuwa huru! hapa TZ kuna baadhi ya makabila Mama/Baba Mkwe kulala ukweni ni jambo la haibu sana, lakini wengine ata akikaa mwaka mzima ni rahaa mustarehe! so unapaswa kuyachunguza na kuyajua haya yote na madhara yake!
3. Lugha: japo hii ni sehemu ya utamaduni lakini ina umuhimu sana katika mahusiano! mnapokuwa mnaongea lugha tofauti inakuwa shida sana unapokuwa na mpenzi wako alaf unakutana na watu wa kwenu na kulazimika kuongea kilugha chako! wengi wamejikuta wakiingia katika mgogoro wakidhani kuwa wenzi wao wanawateta, huku wakikosa amani na uhuru!

kuna mengi..wengine wataongezea! waliokaidi sauti za wazazi wengi (japo si wote) wanajuta na kubakia na "NINGE..."

NB: Mngoni na Mhaya (wengi wao) wanaendana kwa sababu wote wana ile sifa ya kupenda kutathmini maumbo...wanapenda kuchungulia/kuchunguliwa kule walikotoka!
tutake radhi Mjanga
 
Last edited by a moderator:
pole sana kaka, kumbuka kuwa anayekwenda kuishi na huyo mke ni wewe. na mpk kufikia hatua ya kutangaza ndoa it means umejirisha na tabia zake na kila udhaifu wake. issue za ukabila karne hii hazipo.mf.ww ni mngon umezaliwa,umekulia,au mesomea dar.babu na bibi zako wapo dar.hata huko songea hujawah fika na kingon hufahamu bdo utajiita mngon? utakuwa mngon jina ila mila na destur unaweza usizifahamu!kwanza cku hz watu wametokax2 sana na kuna tofaut kat ya mhaya wa kagera na mhaya aliyekulia dar
 
ukioa mwanamke wa kihaya ujue umeolea watu wengi, yani ni cha wote
 
nitampa sababu gani ya kumwacha? na tumependana[/QUOTE]

hivi katika hali hii ya kuchanganya makabila kiasi hiki kulikopo kwenye jamii kuna mtu amebakiwa na tabia za kabila lake kweli?kimsingi sidhani!weakness au potentiality ya mtu sasa hivi inabase kwa mtu mwenyewe!sio kabila jamani.hatuolewi/kuoa kabila.TUNAOA/TUNAOLEWA NA WATU.TENA WENYE MAPUNGUFU KATIKA UBINADAMU WAO!so kama ni ndoa unataka kubali katika hili kwanza thn utajua ufanye nini!
 
za magono wa kunyumba.
mimi pia mngoni na kuna kaka yangu kaoa mhaya, yaani tunampenda yule wifi kupita maelezo, ana tabia nzuri sana....... kabila siyo tatizo kabisa kama alivyosema kaka yangu hapa, angalia tabia zake tu na uwe na sababu nzuri ya ku-convince wazazi
yenyee hii ngati uimalize tuuuu ne mbwiiitu!
 
Mngoni na mhaya duuh yaaani mnatoa breed ya hatarii

mi ni mngoni (baba yangu mngoni na mama mnyakyusa)mume wangu ni mchaga(baba mchaga na mama mhaya)unasemaje hiyo breed hapo yaya??!na maisha yanaenda poa sana tuuu!
 
Mkuu unaweza usiwaelewe wazazi, lakini kuna umuhimu wa kuwasikiliza japo ujatupa sababu walizokupa!
kwa harakaharaka sababu zao zinaweza kuwa:
1. Umbali: Ungonini (Songea) na Uayani (Kagera) ni mbali sana hasa mambo ya kijamii yanapokuwainvolved, ukumbuke kuwa lengo la kuoa pia ni kusogeza hizi familia mbili (ya mwanaume na mwanamke) karibu na kujenga undugu na urafiki. endapo familia hizi zitashindwa kutambuana na kujenga ukaribu hapa kuna tatizo. mfn tatizo linapotoke au mtu anapojisikia kutembela upande mwingine, basi atatumia gharama nyingi au atashindwa kabisa! hili ni tatizo na unapaswa kuliona! ukumbuke kuwa hatujafikia ule ustaarabu wa familia kujengwa na baba, mama na watoto pekee!
2. Utamaduni: japo watu wengi wanalipuuza hili, lakini lina maana kubwa sana! unapokuwa na mtu ambaye mnashare naye cultural elements kuna faida zake, mfn hakuna atakayeshangaa mambo fulanifulani yanapotokea/fanyika, na kila mtu anakuwa huru! hapa TZ kuna baadhi ya makabila Mama/Baba Mkwe kulala ukweni ni jambo la haibu sana, lakini wengine ata akikaa mwaka mzima ni rahaa mustarehe! so unapaswa kuyachunguza na kuyajua haya yote na madhara yake!
3. Lugha: japo hii ni sehemu ya utamaduni lakini ina umuhimu sana katika mahusiano! mnapokuwa mnaongea lugha tofauti inakuwa shida sana unapokuwa na mpenzi wako alaf unakutana na watu wa kwenu na kulazimika kuongea kilugha chako! wengi wamejikuta wakiingia katika mgogoro wakidhani kuwa wenzi wao wanawateta, huku wakikosa amani na uhuru!

kuna mengi..wengine wataongezea! waliokaidi sauti za wazazi wengi (japo si wote) wanajuta na kubakia na "NINGE..."

NB: Mngoni na Mhaya (wengi wao) wanaendana kwa sababu wote wana ile sifa ya kupenda kutathmini maumbo...wanapenda kuchungulia/kuchunguliwa kule walikotoka!

usipende kujumuisha sana vitu!katika haya maisha hivi sasa habari za mtu kupenda kipochi manyoya au miguu ya watoto haliendani na kabila wala nini!wapo hao mnaoamini makabila yao ni watulivu na ni malaya kwisha kazi!
 
mi ni mngoni (baba yangu mngoni na mama mnyakyusa)mume wangu ni mchaga(baba mchaga na mama mhaya)unasemaje hiyo breed hapo yaya??!na maisha yanaenda poa sana tuuu!
yaani mimi siju wajukuu watakuwa na breed gani, maana sipati picha.
 
Back
Top Bottom