Nyumbani wamemkataa mchumba wangu. sababu: mhaya!

hivi mkiambiwa muorodheshe wangoni waliowapa katika maisha yenu wanafika hata 3 kweli?tatizo mnakumbuka ule utamu mliowahi kuupata ndo mana kila mtu hapa mishipa inamtoka oh wangoni wangoni!na we tutake radhi!

Ha ha ha ha1. Mkuu kiongozi wangu wa nchi huwa hana tabia ya kuomba msamaha, hata Mkuu wa Jeshi la Polisi hajawahi kuomba msamaha, hata mawaziri wa afya na mambo ya ndani hawajawahi kuomba msamaha (vifo vya wagonjwa na raia), hata mafisadi hawajawahi kuomba msamaha!!! Nchi hii haina mila na desturi za kuomba msamaha!!! Sasa mimi nimekosa nini nitake radhi!!!! Si nimesema ukweli!!!! Ninawajua wanawake wa kingoni, ni wakarimu sana!!! Na mambo wanayajua!!!! Si ni sifa hizo!!
 
niikosili lepi nongi,yani we ni bonge la genius,yani tunafana ideas nyingi kimsingi!hebu npm uniambie jina lako usikute nachat na dadangu wa kabisa hapa!
ha haaaaaaaaaaaa, kaazi kweli, wewe niPM lako ntakujibu.................... usinicheke dadako sijui kuanza PM, najua kureply tu
 
katerero? mh! ndo unamaanisha nini

Ayaaaaaaaa!unataka kuoa mhaya hata katerero hujui?nadhani wazazi wako hawamaanishi kuwa huyo dada wa kihaya hakufai,ILA WEWE NDIO HUMFAI!criteria number moja tu huna....kajifunze katerero kwanza ndio uendelee na mpango wako!
 
Well said

ni kweli unachosema ila baraka za wazazi pia zahitajika kwenye hiyo ndoa...........mimi nadhani mhusika anabidi ajitahidi kuwaelezea wazazi wake kuhusu tabia nzuri ya huyo mchumba wake............ili kuwatoa kwenye huo mtazamo wa kuwa wahaya wanatabia mbaya.
 
Umenena vema

Mh hapa kazi kwelikweli, ila kumbuka ni dhambi kubwa sana kumzania mtu kwa kitu fulani, mapenzi ya dhati ndio kitu cha muhimu sana katika ndoa mkuu. Maamuzi yako na maamuzi ya Wazazi yote ni muhimu.....Jitahidi kuwaelewesha wazazi.


Tafakari chukua hatua
 
Ushauri mzuri!

Tabia mbaya haitokani na kabila la mtu bali ni mtu mwenyewe binafsi.usimwache huyo dada till umefanya uchunguzi wa kutosha nakujua tabia yake kiundani zaidi.After all kama unampenda huwezi mwacha kwa sababu parents say.investigate first.
 
wewe ndi utakaye ishinae miaka yote ndaniya chumba chenye pande nne, hao wazazi wako ni watu wakuja kwako kusalimia na kuondoka, chekecha mwenyewe kama atakufaa kwenye shida na raha atavumilia mapungufu yako yote nawe utayavumilia ya kwake. kama uko radhi kwa hayo basi wewe funga ndoa nae.
unless kuna mengine hujayaweka bayana, swala ya kabila sioni tofauti ya muhaya na mngoni
 
Back
Top Bottom