Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,327
Kamata kauze kwa wachina wanakulaMsaada jamani
Maisha yangu yako mashakani
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndani kwangu kuna nge tena mkubwa tu
Nilitaka kumuua kakimbilia chini ya kochi
Sijui nitamtoaje
Nitapata wapi dawa ya kumuangamiza huyu kiumbe hata ya kupulizia tu afe maana mpaka asubuhi sijui atakuwa kahamia wapi
nge gani huyo ana kilo 1.4Mtu una kilo 70 lakini unaogopa kiumbe chenye kilo 1.4
Wa Tanzania sie ni watu wa ajabu ajabu acha tuibiwe tu
Nimecheka sana nyie wadada waoga sana yani hadi mende aina n'ge mnaogopa mpaka mnaliaMsaada jamani
Maisha yangu yako mashakani
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndani kwangu kuna nge tena mkubwa tu
Nilitaka kumuua kakimbilia chini ya kochi
Sijui nitamtoaje
Nitapata wapi dawa ya kumuangamiza huyu kiumbe hata ya kupulizia tu afe maana mpaka asubuhi sijui atakuwa kahamia wapi
Nakushauri uhame hiyo nyumba inamikosi
mmmhKwenu mwisho kuolewa ni umri gani? Mr Killo Poultry Farmingkwa nini mpaka leo huna mume,huu ushauri ilibidi umuombe mumeo
nakuja kumtoaMsaada jamani
Maisha yangu yako mashakani
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndani kwangu kuna nge tena mkubwa tu
Nilitaka kumuua kakimbilia chini ya kochi
Sijui nitamtoaje
Nitapata wapi dawa ya kumuangamiza huyu kiumbe hata ya kupulizia tu afe maana mpaka asubuhi sijui atakuwa kahamia wapi
Matoto ya mjini wakati mwingine yanakuwaga kama mataahira fresh hivi,, nge gani mwenye kilo 1.4? Labda uchanganye na expansion joint ya nyanyako!!Mtu una kilo 70 lakini unaogopa kiumbe chenye kilo 1.4
Wa Tanzania sie ni watu wa ajabu ajabu acha tuibiwe tu
Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa kuwa na Faza Hauzi inza Hauzi.
Ukiulizwa hapo relationship status,
I am single and not ready to mingle, Men are are stressful. Goddammit! Pambana na LiNge lako.

Dawa ya nge ili wasiingie ndani ni ipi?Kama huwa una mwaga mwaga unga ndani mkuu angalia sana coz hicho ndo chakuka chao and usishangae kukuta ana watoto tayar so take care much more...
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinikumbushe mambo ya misukosuko mahakamani.... Ni shughuli pevu hii siwezi kusahau 😂😅Mtu mwenyewe unaogopa n'ge utaweza kweli misukosuko ya mahakamani???
Hakuna nge wa Kilo 1.4Mtu una kilo 70 lakini unaogopa kiumbe chenye kilo 1.4
Wa Tanzania sie ni watu wa ajabu ajabu acha tuibiwe tu