Nyumbani kwangu kuna n'ge

Nyumbani kwangu kuna n'ge

Usiombe ukamvaa na nguo alafu akung'ate ikulu utanena kwa lugha za mbinguni. Mbaya isije ikatokea upo kwenye dala dala
 
Tafadhali sana usitake kuniharibia uzi wangu.
Mimi sina akili za kipuuzi kama zako
Nahitaji kumuua n'ge
bila shaka hufahamu vyema pita kimya.
Wewe unadanganya kama unamuogopa ng'e kweli unawezaje kuanzisha thread JF huo muda wa kuandika si ndio atakuuma?
 
Wewe unadanganya kama unamuogopa ng'e kweli unawezaje kuanzisha thread JF huo muda wa kuandika si ndio atakuuma?
Kwakuwa kuna mdudu niwe barafu nisiombe msaada?
N'ge yupo kwa sebule mimi kwa chumba au unadhani naishi hostel kama wewe?
 
Msaada jamani
Maisha yangu yako mashakani

Ndani kwangu kuna nge tena mkubwa tu
Nilitaka kumuua kakimbilia chini ya kochi
Sijui nitamtoaje
Nitapata wapi dawa ya kumuangamiza huyu kiumbe hata ya kupulizia tu afe maana mpaka asubuhi sijui atakuwa kahamia wapi
Dume la dar. Waoga hivyo angekua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badilisha avatar ya watu kwanza af leta mrejesho kesho ukiamka mzima..
 
Sasa asipo kung'ata utasimulia nini kwa vizazi vijavyo wacha ung'atwe ili iwe funzo kwa wale wote wafugao viumbe visivyo na tija
 
Sasa asipo kung'ata utasimulia nini kwa vizazi vijavyo wacha ung'atwe ili iwe funzo kwa wale wote wafugao viumbe visivyo na tija
Ungelikua unajua dawa ungeliiweka wazi, porojo zinaonyesha u mtupu kichwani
 
Wanawake bwana!

Demu wanguvanaogopa wadudu mpaka napata shida huyu mtu ni wa aina gani?

Yani akimuona mende tu anaweza kujificha hata kwenye friji.

......
 
Back
Top Bottom