Nyumbani kwangu kuna n'ge

Nyumbani kwangu kuna n'ge

Dah.....kuna kifaa nimebuni...nimekiita KIM23......kinatoa mitetemo isiyo na madhara kwa binadamu ila inawasumbua sana viumbe wengine hadi ukubwa wa panya au nyoka....ni wireless na kinatembea chenyewe....kina kamera na unaweza kukiendesha ukiwa nje ya nyumba.... Bei ni elfu 40 tu..... Kama utaona ghali basi kanunue petrol ya buku4 ....mwaga kwenye kochi then tia kibiriti....ng'e hatatoka salama

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
Dah.....kuna kifaa nimebuni...nimekiita KIM23......kinatoa mitetemo isiyo na madhara kwa binadamu ila inawasumbua sana viumbe wengine hadi ukubwa wa panya au nyoka....ni wireless na kinatembea chenyewe....kina kamera na unaweza kukiendesha ukiwa nje ya nyumba.... Bei ni elfu 40 tu..... Kama utaona ghali basi kanunue petrol ya buku4 ....mwaga kwenye kochi then tia kibiriti....ng'e hatatoka salama

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
Interesting 40 elfu tu?
 
Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa kuwa na Faza Hauzi inza Hauzi.
Ukiulizwa hapo relationship status,
I am single and not ready to mingle, Men are are stressful. Goddammit! Pambana na LiNge lako.
Wanaume wa siku hizi wanaogopa hata mende sembuse nge!!!!
 
Mkubwa au mdogo huyo nge ogopa sana nge wadogo na size ya kati wale wana sumu kali mno lakini yale ma nnge makubwa kabisa wanaleta maimivu tu .
Lingine huyo nge sio bahati mbaya kuna sehemu wanamaficho yao au nyumba yako ina wadudu wengi hasa jamii ya mende mpe kama wezi hivi awale wadudu halafu mtoe(joking)
Toa hilo kochi nje msake muulie mbali ataingia kitandami halafu akudunge sehemu sio utajutaje ,just picture nge akutafune makende au papuch au mshedede wako au mdomoni maana utashindwa hata kujieleza hospitali utageuka masoud kipanya uletewe karatasi uchore mkasa wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali sana usitake kuniharibia uzi wangu.
Mimi sina akili za kipuuzi kama zako
Nahitaji kumuua n'ge
bila shaka hufahamu vyema pita kimya.
Bibie usidhani kila mtu ni mwerevu humu huyo samehe tu ,mbona unapenda kuwanyanyasa watu wenye mtindio wa akili?
Tambua kuwa nao ni binadamu tujifumze ti kuishi nao humu .
Kihusu ng'e toa kochi nje be armed na zile spray za kuua wadudu fanya vurugu mshushie manyuklia baada ya muda utamkuta chali unamla mshikaki kwa hasira!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah.....kuna kifaa nimebuni...nimekiita KIM23......kinatoa mitetemo isiyo na madhara kwa binadamu ila inawasumbua sana viumbe wengine hadi ukubwa wa panya au nyoka....ni wireless na kinatembea chenyewe....kina kamera na unaweza kukiendesha ukiwa nje ya nyumba.... Bei ni elfu 40 tu..... Kama utaona ghali basi kanunue petrol ya buku4 ....mwaga kwenye kochi then tia kibiriti....ng'e hatatoka salama

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
Upo wap mkuu
 
Bibie usidhani kila mtu ni mwerevu humu huyo samehe tu ,mbona unapenda kuwanyanyasa watu wenye mtindio wa akili?
Tambua kuwa nao ni binadamu tujifumze ti kuishi nao humu .
Kihusu ng'e toa kochi nje be armed na zile spray za kuua wadudu fanya vurugu mshushie manyuklia baada ya muda utamkuta chali unamla mshikaki kwa hasira!

Sent using Jamii Forums mobile app


shukrani kwa busara zako mkuu
Mungu akubariki zaidi
 
Back
Top Bottom