Nyumbani kwangu kuna n'ge

Nyumbani kwangu kuna n'ge

Msaada jamani
Maisha yangu yako mashakani

Ndani kwangu kuna nge tena mkubwa tu
Nilitaka kumuua kakimbilia chini ya kochi
Sijui nitamtoaje
Nitapata wapi dawa ya kumuangamiza huyu kiumbe hata ya kupulizia tu afe maana mpaka asubuhi sijui atakuwa kahamia wapi
Ndo mnadai usawa!
 
Umeshindwa kuomba msaada hata kwa jiran zako,Huna ubunifu kabisa ndio maana hata ......umekopi ya José kutafuta umaarufu wa haraka jf
Mi pia nashangaa kweli umekosa Avatar yako binafsi mpk uchukue ya mtu aliezoeleka?? Si aweke hata avatar ya Nge basi
 
Mtu una kilo 70 lakini unaogopa kiumbe chenye kilo 1.4

Wa Tanzania sie ni watu wa ajabu ajabu acha tuibiwe tu
Kama ng'e mkubwa hivi hata kama ningekuwa mimi ninao cheza nao ningekimbia kwa kweli.
1.4kg ni paka ng'e huyo
 
Tafuta dawa inaitwa DIAZNON changanya na maji or mafuta ya taa inauwa wadudu wote ni kali mno angalia isingie kwenye vyakula or maji ya kunywa mtaondoka na nyie
 
sasa hivi ni msimu wa baridi kali usiku, wadudu hatarishi kama hao pamoja na nyoka na tandu wanatafuta joto, tuepuke kurundika vitu bila mpangilio, haswa nguo na viatu. Pia kupuliza dawa za kuua wadudu majumbani, kumwaga mafuta ya taa na oil chafu milangoni.
 
Tafuta dawa inaitwa DIAZNON changanya na maji or mafuta ya taa inauwa wadudu wote ni kali mno angalia isingie kwenye vyakula or maji ya kunywa mtaondoka na nyie
Asante ndugu inapatikana maduka gani
 
Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa kuwa na Faza Hauzi inza Hauzi.
Ukiulizwa hapo relationship status,
I am single and not ready to mingle, Men are are stressful. Goddammit! Pambana na LiNge lako.
Dah kaushauri kako noma sana.

Yesu anaponya
 
Mkubwa au mdogo huyo nge ogopa sana nge wadogo na size ya kati wale wana sumu kali mno lakini yale ma nnge makubwa kabisa wanaleta maimivu tu .
Lingine huyo nge sio bahati mbaya kuna sehemu wanamaficho yao au nyumba yako ina wadudu wengi hasa jamii ya mende mpe kama wezi hivi awale wadudu halafu mtoe(joking)
Toa hilo kochi nje msake muulie mbali ataingia kitandami halafu akudunge sehemu sio utajutaje ,just picture nge akutafune makende au papuch au mshedede wako au mdomoni maana utashindwa hata kujieleza hospitali utageuka masoud kipanya uletewe karatasi uchore mkasa wako

Sent using Jamii Forums mobile app
umenichekeshaaa duuuh
 
Pole bibie,.ila ungejitahidi kuwa makini(kuhakiki) nyumba yako pengine umejisahau sana ndio maana unakumbana na jidudu kama hilo na pengine hata joka waweza likuta,pia usipende kuacha milango wazi muda mreefu......kanunue Rungu.
 
Back
Top Bottom